Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Mkuu hawadhubutu kukukata, wanakujua na wakijaribu tu, waoneshe! Unajiunga tu upande wa pili, unafungua watu macho!
Tarajieni Polepole na Dr Bashiru kujiuzulu leo. Misimamo yao sio sawa na Mwenyekiti. Eti atatushikisha adabu, Thubutu!!
 
Tarajieni Polepole na Dr Bashiru kujiuzulu leo. Misimamo yao sio sawa na Mwenyekiti. Eti atatushikisha adabu, Thubutu!!
Isee wewe unaota, hivi hata wewe unaweza kuliacha lile Land cruiser V8 maposho lukuki, mshahara mnono na kuonana na Rais wakati wowote?

Au hukumsikia Profesa mzima Kabudi anasema aliokotwa jalalani? Nani anataka kurudi jalalani?
 
Tarajieni Polepole na Dr Bashiru kujiuzulu leo. Misimamo yao sio sawa na Mwenyekiti. Eti atatushikisha adabu, Thubutu!!

Mambo haya huwezi kufanya maamuzi ya ngoma za vigodoro za cdm. Eti unamua ujisikiavyo hutaki kwenda au unaenda.
 
Ni hivi......hawatujui vizuri watu wa Chugga....
Wacha tusubiri tuone kwanza.......subira huvuta heri.......
Mimi nawajuwa vizuri lakini mikakati iliyopo inaniogopesha, halafu hawa jamaa wapo kimya kabisa.

Cha kushangaza mpaka wazee wa kichaga wameingia MoU na ccm kuwapa majimbo ccm ili watoto wao waingizwe serikalini serikali ijayo, ndio sababu hata yule katibu mkuu wa maliasili na utalii kaenda kugombea kwao Rombo na anakwenda kuwa mbunge wa Rombo.

Arusha kama watu wa kawaida wana imani na Lema basi atadhinda, lakini upande wa matajili wameshamwagiwa sumu.
 
Mzee wa kaya hampendi ndungu
Ndio huyo huyo aliyepitisha jina lake jana, inategemea ameamkaje.

Halafu kama ungekuwa unaijuwa siasa hata chembe kama Ndugulile angekuwa ni mtu wa kukatwa basi kuteuliwa angependekeza mshindi wa tatu au wa nne na siyo Makonda hilo haliwezi kutokea kamwe, huu ndio ukweli mchungu muukubali. Makonda is over.
 
Msumari wa mwisho kwa Bashite. Siku hizi hana lolote. Kweli vyeo vya CCM vimembeba sana..Yeye kama yeye hana lolote.Hata kujiajiri kashindwa kutwa kuwaambia vijana wenzao wajiajiri.
Mbona nasikia ana utajiri wa kutisha, ameupataje kama sio kwenye biashara nje ya ajira yake?
 
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kinakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Magufuli. Miongoni mwa agenda ni kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi.

Mkutano utarushwa mubashara na Channel ten na TBC

Up dates;

Wajumbe wa halmashauri kuu tayari wameanza kuingia ukumbini na wengine wanajadiliana hili na lile kwa bashasha.
Tuna subiri ngumi majimboni
 
Makonda is dying horse, hana chake, akajiajiri kama wanavyowashaurigi vijana kwamba ni wavivu na hawapendi kujishughurisha, na uzuri Makonda hana tatizo la mtaji kama walivyo vijana wengi.
Kujishughurisha = Kujishughulisha***
Cc. FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom