Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

January je?
 
Uzi huu ni kurahisisha kujuzana majina ya Wabunge walioangukia pua kwa kupeana Updates na kushare matokeo ya WAJUMBE NA MAAMUZI YA KAMATI KUU..!!

Naanza na Waliokatwa na Kamati..

BASHITE

MWAKYEMBE

MWAMRI

GOODLUCK MLINGA.

LIJUALIKALI

WALIOPINDUA MEZA YANI WALISHINDWA ILA KAMATI IMEWAPITISHA NI.

MWANA FA

NGUDULILE

ERIC SHIGONGO.

Update za Waliopindua meza tu hapa Mods msiunganishe uzi.
 
Niwape hongera kwa sababu kwa mwaka huu kupitishwa tu kugombea Ubunge na CCM ni kupitishwa kuwa Mbunge.

Hasa wale ambao walikataliwa na wajumbe ile kuta ya Veto ikawarudisha.hawa uhakika wa kupita kwenye Ubunge ni mkubwa zaidi sababu wameonekana kuhitajika.

Sasa tunafahamu kuwa Halima Mdee analiacha jimbo kwa Ndugu Gwajima. Na majimbo mengine wale waliopitishwa ndio watakaoshinda.

Uhakika wa CCM kushinda Majimbo ya Ubunge ni Asilimia zaidi ya 90 wakiyaachia mawili matatu kwa vyama rafiki ambavyo vinaonekana kukubaliana na sera na mwenendo wa serikali iliyoko madarakani.

Moderator hamna sababu ya ku delete uzi huu. Nmeandika ninachokifahamu na ntaweka kumbukumbu.CCM ITASHINDA UBUNGE KWA ZAIDI YA ASILIMIA 90.

NA UDIWANI PIA.
HONGERENI WABUNGE MLIOPITISHWA KUWA WABUNGE.
 

Usikurupuke kuandika vitu hujui
Ndungulile alishindwa wapi na lini?
Shigongo alishindwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…