Kangi kakatwa mkuu????? Acha utaniHandeni mjini omary kigoda.
Kangi lugola
Kigoda nae[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwaka wa motoo huuHandeni mjini omary kigoda.
Kangi lugola
Ndiyo mbunge chemba home sweet home kazi yake ilikiwa kujipendekeza tu , sasa aendelee na kampeni yake ya miaka sana huko kitaaDuuh nkamia nae chalii ooho....
Ndugulile alishinda kwenye kura za maoni!!Uzi huu ni kurahisisha kujuzana majina ya Wabunge walioangukia pua kwa kupeana Updates na kushare matokeo ya WAJUMBE NA MAAMUZI YA KAMATI KUU..!!
Naanza na Waliokatwa na Kamati..
BASHITE
MWAKYEMBE
MWAMRI
GOODLUCK MLINGA.
LIJUALIKALI
WALIOPINDUA MEZA YANI WALISHINDWA ILA KAMATI IMEWAPITISHA NI.
MWANA FA
NGUDULILE
ERIC SHIGONGO.
Update za Waliopindua meza tu hapa Mods msiunganishe uzi.
Usijali Ngoja tukufikirie.Jimbo la Nyamagana ni heri tumpe komredi John Pambalu wa Chadema kuliko kumpa Mabula aliyeshindwa kulibadilisha jimbo kwa miaka mitano iliyopita
Maisha ni Kama kitenesi inadunda huku na kuleLife haitabiriki leo mwana fa ana huakika wa kuingia mjengoni wakati sugu hana huakika wa kubaki mjengoni.
WamekataKangi kakatwa mkuu????? Acha utani
Mkuu tokana na uwepo wa bashite kwenye lile jimbo naona ni kama bado alikuwa ana hali mbayaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugulile alishinda kwenye kura za maoni!!
Stephen masele wamekataKigoda nae[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwaka wa motoo huu
Wote wanagombeaJanuary Makamba, Nape Nnauye vipi!?
Godwin Kunambi kapeta hukooStephen masele wamekata
Mzee akalee wajukuu umri ushaenda.Steven Wasira naee chalii tenaa aache siasa tu mzee[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mboga moto, ugali Moto! Kutakuwepo na vilio, machozi na kusaga meno kwa wengi.
Vipi Mhe Salum Mbuzi a.k.a Jambo wa Meatu kapita?Uzi huu ni kurahisisha kujuzana majina ya Wabunge walioangukia pua kwa kupeana Updates na kushare matokeo ya WAJUMBE NA MAAMUZI YA KAMATI KUU..!!
Naanza na Waliokatwa na Kamati..
BASHITE
MWAKYEMBE
MWAMRI
GOODLUCK MLINGA.
LIJUALIKALI
WALIOPINDUA MEZA YANI WALISHINDWA ILA KAMATI IMEWAPITISHA NI.
MWANA FA
NGUDULILE
ERIC SHIGONGO.
Update za Waliopindua meza tu hapa Mods msiunganishe uzi.
Angela Kairuki Chalii mkuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila mzee kajikaza sanaa hapaa..Yule mama mzuri mzuri chakula cha mkuu pale same vip... Kapitishwa