Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo Jackbauer. Asante kwa taarifa. Naomba ulitendee haki hilo, maana fisadi hafichi ukweli mbele ya Bauer labda awe amekata kauli!
Bauer angepewa nafasi amhoji Celina Kombani ukweli ungejulikana kama anatingisha kiberiti kweli au analinda maslahi yake na mkuu wake wa kazi.
New constitution is highly required 4 our better future. It is an obligation not a request!
Richard Kasesera.........Kuna mdau wa CCM anazomewa live...
Kuna mdau wa CCM anazomewa live...
Shivji amesema, ni rahisi kumshinikiza Rais kuliko Bunge
Bora wewe umeme mimi umeme umekatika nikaenda kwa washikaji baada ya muda ITV nao wakaleta zao....tuko pamoja mkuu ila umeme umenichakachua.
Du!!! kweli aisee sijaona wala kusikia mchangiaji wa mwanamke!!!Ndugu Kitila Mkumbo, hivi hamna wachangiaji wanawake humu ndani??
Kuna mchangiaji anazomewa baada ya kuongelea ishu ya maaskofu!!!
mwangalie vizuri huyu ndo marelia sugukuna mchangiaji anazomewa baada ya kuongelea ishu ya maaskofu!!!
Du!!! kweli aisee sijaona wala kusikia mchangiaji wa mwanamke!!!
tuambieni katoa pumba gani jamani, nchi hiii ona umeme unavyotutesa sasa!kasemaje?
kUMBE WAPO KILA MAHALI HAWA WATU...mwangalie vizuri huyu ndo marelia sugu
Anashangaa eti maaskofu kumpinga meya nadhani anaongelea ishu ya Arusha......baada ya kutoa kauli hiyo alizomewa vibaya mno!kasemaje?