Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Umeme umekata!
Kivipi wajiheshimu sasa?
Ahahahahaaaaaah!!!!!JF ni ya wote kama unamtaka mtafute baadaye.
Pole.........mgaio nini au UWT?
Duu...hii ni ya kufungulia mwaka eeh?...the matters are that serious?Katiba isha anza kuandikwa na damu ya wa Arusha ni wino wa dibaji.
JF ni ya wote kama unamtaka mtafute baadaye.
mbona hata kwao walifanya hivyo?Mkenya anashangaa katiba ya Tanzania kumruhusu askari kufyatulia raia risasi.
Kama ni wako sasa kiherehere kinachokuwasha kinatokea wapi juu chini usitake tufungulie wengine tumefunga.Tayari ni wangu kama unavyoona hapo juu kanijibu...........:ban:sitaki mabishano wakati wa hoja ya msingi kama hii,aliyekutuma mwambie hukunikuta.
Ha ha haa..JK atakuwa wa mwisho kuchakachua sasa...nadhani in5 years tutakuwa na katiba mpya!Mnyika-----tume inayoteuliwa na rais haifai...........................................
Pole my dear!!!! tuendelee kwenye hoja yetu ya msingi!Tayari ni wangu kama unavyoona hapo juu kanijibu...........:ban:sitaki mabishano wakati wa hoja ya msingi kama hii,aliyekutuma mwambie hukunikuta.
wAKUU,Kama ni wako sasa kiherehere kinachokuwasha kinatokea wapi juu chini usitake tufungulie wengine tumefunga.