VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Kasema hawa mawaziri wawe wanamuuliza raisi chinichini sio kuropoka tu.... mfano hatuitaji katiba au wanaojadili katiba ni kama mabata... watu wanashangilia.... Kongamano linafungwa sasa nane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi wajiheshimu sasa?Mkinga anawaambia mawaziri wajiheshimu.
katiba zote zina mapungufu..................huyu mzee anamuua lowassa, mawaziri wanaonywa na huyu mzee wamshauri rais...
Kwani Katavi ndiyo kasema yeye karipoti tu aliyesema ni Lipumba labda umtafute akufafanulie.
Kitila..... Tukumbuke Kombani alisema alikuwa anatingisha kiberiti tu...... ITV wamechakachukua wamekata mawasiliano
Kitila..... Tukumbuke Kombani alisema alikuwa anatingisha kiberiti tu...... ITV wamechakachukua wamekata mawasiliano
Kivipi wajiheshimu sasa?
Mbona mawasiliano yapo!!!
Asante sana Michelle, nimekupata na nimekuelewesha hapo juu!!Amenielewesha mengi najua nilikotoka nae kwenye huu mjadala,so tuachie hilo,si lazima utoe opinion yako kwenye kila kitu and by the way,nime-specify KATAVI.
JF ni ya wote kama unamtaka mtafute baadaye.Amenielewesha mengi najua nilikotoka nae kwenye huu mjadala,so tuachie hilo,si lazima utoe opinion yako kwenye kila kitu and by the way,nime-specify KATAVI.