Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,337
Kutokana na dhamira ya Mnyika kupeleka hoja ya katiba mpya bungeni, mtoa mada wa leo Prof. ISSA SHIVJI amewaonya CHADEMA kuwa suala hilo wasilipeleke bungeni kwani hatari yake ni kuwa suala hilo litatekwa na CCM kwa vile wao ni wengi na kuamua walitakalo. Alisema ya kwamba CDM wafikirie zaidi ya jambo hilo kuliko hivi sasa ambapo wanaonyesha wanajadili mambo ya katiba kwa jazba na kishabiki
Ahsante Shivji kwa kuwa mkweli.
brain gani kwenye ID yako haijui tofauti ya kuumbua,kushauri au kueleza? Au kasome lugha ya kiswahili.