fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 739
- 1,032
Maoni ya Mwanazuoni Prof. Dr. Issa Shivji ni kuwa hoja ya Mhe. John Mnyika itatekwa na CCM ikiwasilishwa Bungeni. Maoni ya Mwanataaluma Dr. Azaveli Lwaitama ni kuwa hoja ya Katiba Mpya ipelekwe kila sehemu na kwa kila mtu; iwe Bungeni, Misikitini, Makanisani, Sokoni, Vyuo vyote, Shule zote, Vijiji vyote, Miji yote ili watu wote watoe maoni yao. Hoja hiyo itakapojadiliwa Bungeni, CCM wakiamua kuwa na mtazamo hasi, Watanzania ambao sasa hawadanganyiki watajua kutofautisha pumba na mchele.
Big up Mnyika
Big up Mnyika