Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

Kale ka Wimbo ka Huendi Mbinguni kako wapi?
 
Sijui nani ndio mmiliki halali

attachment.php






attachment.php






attachment.php






attachment.php







attachment.php
Rip
 
Wanawake mna utu na dhamani ya asili mliyopewa na Mungu...kwanini wengi wanashindwa kutunza heshima hiyo kubwa?......Alafu washabiki wakubwa wa haya (wachochezi) ni wanawake wenyewe......

Pesa zinapelekea kufanya yote haya......bila kujali vizazi vyenu wakianza watoto wenu watashuhudia haya kupitia mitandao hii hii.......mishipa ya aibu imewakatika enhe?......Don't care enhe?...Haya bana.....endelezeni ujanja ujanja wa mjini ili maisha yasogee lakini UTU ukichakaa umechakaa.....wapo wanawake wengi wa mfano....inawezekana...

Tafuta namna ya kusimama mwenyewe kwa miguu yako na uridhike kuishi kwa jasho lako ili ulinde utu wako......
 
Mmililki halali ni Mama Ruge, Hao wengine wanagombea ndizi na mgomba si wao!
Mwenzao alihenyeka Labor kwa uchungu siku kama hiyo, wao wanajishaua tu huko insta.....na kwa akili hizo atawapanga mpaka Morogoro.....kama Kenya vile....full mbanano hahahaaaaaaa!
 
Baba JuhJuh
Sijui Nimepita Je nakujikuta hapa, huku nikijiuliza hivi Zamaradi ndio hupendaga hivi... Alipo weka lile bang na Mumewe hivi hakuwa iwapo akiona hii post kama hatomwamini🥱🥱😁
 
Back
Top Bottom