Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Aiseeehhh Bhagosha eNzagamba yele BHATANDOLA.....Nzega ni kufuru !
View attachment 1598039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeehhh Bhagosha eNzagamba yele BHATANDOLA.....Nzega ni kufuru !
View attachment 1598039
Mkuu shughuli imeishaaiseeehhh Bhagosha eNzagamba yele BHATANDOLA.....
Siwezi kuchagua taahira mimi labda wewe peke yako!Rais nyumbani kwako labda. Watanzania tunakwenda na Dkt. Magufuli
Nimefarijika sana kusikia TAL anaanza kuwakumbusha waTZ wote (yakiwemo MATAGA na maCCM) kuwa kila mTz amepigika kivyake katika miaka hii mitano ya Jiwe. Huu ni ukweli ambao kila mTz anao moyoni mwake hata kama udik hauwaruhusu kuusema. Kwa hivyo hii fursa adimu, hutokea mara moja katika kila vizazi vitano, ya kila mTz kujiunga na jeshi la ukombozi na kuwafurumushia mbali wadhalimu siku ya Oktoba 28.MATAGA hayaamini kinachoendelea..
Yeneye mihayo,nkoiaiseeehhh Bhagosha eNzagamba yele BHATANDOLA.....
Aisee nabaki kushangaa tu,huyu jamaa Ana nyota Kali Sana.Mambo yanazidi kuwa magumu kwa CCM Mpya.
Dunia inaenda kuona maajabu aisee.lissu for president
kila siku nguvu yake inazidi onekana tu.....magu umetutesa sana miaka mitano
Poti huku tumebaki tunashangaa tu ila huyu MUNGUDunia inaenda kuona maajabu aisee.
Hawa Watu huwa wanatokea wapi?
CCM ni marehemu anaetembeaMuwe mnaweka video, hafu msichagajye habari zote sehemu moja kuweni active basi, jifunzeni kwa ccm.