Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu Mkoani Ruvuma

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu Mkoani Ruvuma

hivi Lissu amefika rukwa kweli?
Hapa akiwa kijiji cha Kirando wilaya ya Nkasi jimbo la Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa. Una swali jingine tukusaidie?
tapatalk_jpeg_1600448903360.jpg
 
Tupo pamoja na Lissu, tumaini la HAKI kwa Watanzania wengi.
 
Hii [LIVE] kwa sasa imekuwa kama mkaa uliomwagiwa maji na Moderator anaruhusu huku wakijua baada ya hapo hakuna live yoyote, kuna haja ya kuwa na uelewa wa live na updates.
Jikite kwenye mada badala ya kuangalia rangi za maandishi
 
Kwani wewe unaelewa live maana yake ni nini?.Au unataka kusema huyo lisu hayuko uko paliposemwa yuko live.Maana mimi najua hiyo live inamuhusu muhusika anayesemwa kua yuko eneo husika kiualisia.Live ni kitu kinachofanyika,kutendeka au kilichopo eneo hilo kwa wakati huo.Sasa hebu lete nawewe hiyo maana yako tuijue.
Hii [LIVE] kwa sasa imekuwa kama mkaa uliomwagiwa maji na Moderator anaruhusu huku wakijua baada ya hapo hakuna live yoyote, kuna haja ya kuwa na uelewa wa live na updates.
 
Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .

Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.



=========
kila la kheri katika utalii wako wa ndani mzungu wa ubelgiji

Note: utarudi kama ulivyo kuja
 
Kwani wewe unaelewa live maana yake ni nini?.Au unataka kusema huyo lisu hayuko uko paliposemwa yuko live.Maana mimi najua hiyo live inamuhusu muhusika anayesemwa kua yuko eneo husika kiualisia.Live ni kitu kinachofanyika,kutendeka au kilichopo eneo hilo kwa wakati huo.Sasa hebu lete nawewe hiyo maana yako tuijue.
Mkuu Nafikiri nia ya jamaa ni tupewe taarifa wakati tukio likiendelea na siyo kutuma taarifa jioni baada ya kazi kwisha! Mnajitaidi lakini tukubali kukoselewa na kuboresha! #NiYeye!
 
Jikite kwenye mada badala ya kuangalia rangi za maandishi
Mkuu huo ndiyo ukweli usikasilike, huwezi kukuta sehemu wameandika girl ukaingia ukakutana na boys NO.

Na watu wa media wanajua ukikutana na neno LIVE basi kitu kiko kwa hewa muda huo not updates au recorded, so Moderator hebu muwe active kusimamia hilo.

☝️
gigabyte
 
Back
Top Bottom