Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Umesahau 85% CCM itashinda kwa kishindo.Aslimia 90% TUNDU ANDIPAS LISSU AMESHINDA KWA KISHINDO MAJUKWAANI (CHADEMA)
7% inakwenda kwa CUF lipumba
Kwasababu hao wote hawatumii wasanii na wala hawana mabango
3% CCM MAANA KILA KITU WAMEPOKONYA KAMA IGUATAVYO
DRONS
MABANGO
HELCOPTER
RADIO
MAGAZETI
TV
WASANII
POLICE
NEC
NA BADO WANANCHI HAWAWATAKI.
Sasa niombe team ya Lisu sasa wajikite kwenye ushindi huko ndani yaani ccm ndani huko ,vyombo vya ulinzi na usalama na mwisho nec ili mabadiliko wayatakayo wananchi wayapate.
Najua walioshika nchi miaka 50+ sio rahisi kuachia lakini panahitaji sana msuli na lugha moja katika siku hizi chache zilizobakia. A serious and extensively organization
October 28th wewe,yeye,yule na mimi tukampe kura nyingi JPM.
October 28th kura zote ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA