Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hakika zilikuwa za hovyoooo!
- eti mtumbuizaji bora wa mwaka ni ali kiba??
 
...hii nchi masaburi yanaheshimika sana maana wafanya maamuzi wengi huyatumia kufikiri, mifano ipo hai kama ulivyoainisha , bunge la katiba n.k.....
 
junior252 08:04 Today
junior252 08:07 Today
ovyooooo
junior252 08:12 Today
ovyoooooooo
 


Tunatakiwa kupimwa akili zetu
 
Kwa taarifa yako zimepata mshiko, mwakani pigeni kura sio kutambia mashabiki wenu ohhh mtalamba malimao sijui ukwaju. Nadhani mmeshajifunza. Halafu mwambieni msanii wenu atoe nyimbo chache lakin zinaZohiti

Naomba ukome kuniweka hayo mateam yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…