Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hakika zilikuwa za hovyoooo!
- eti mtumbuizaji bora wa mwaka ni ali kiba??
 
...hii nchi masaburi yanaheshimika sana maana wafanya maamuzi wengi huyatumia kufikiri, mifano ipo hai kama ulivyoainisha , bunge la katiba n.k.....
 
junior252 08:04 Today
junior252 08:07 Today
ovyooooo
junior252 08:12 Today
ovyoooooooo
 
Hata mwenda wazimu huwezi kumwaminisha kuwa wimbo wa " mwana" ulikuwa bora kuliko " nani kama mama?" wa Bella

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Bella na alivyokuwa juu last year amekosa tuzo.

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Yamotoband walivyokuwa juu na nyimbo kibao eti wa tuzo moja!!

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa mchezaji wa ligi ya mchangani ( alikiba)ni mchezaji bora kuliko mchezaji wa timu kubwa Afrika (diamond) ambaye afrika nzima inamuweka katika nominees za msaanii bora afrika nzima wakiwa watano pekee huku na yeye akiwemo

Eti mtu kama huyo..ambaye kila tuzo inayotolewa afrika iwe mtv mama,bet na zinginezo lazima wamweke kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume afrika...etikwa nchi maandazi tanzania kuna kibaka ambaye hata dimpozi na sheta wanafahamika afrika kuliko yeye..eti ndo bora!! ovyoooooooo....


Na ka style hii ya vibovu kuonekana bora usishangae Lowasa ndo akawa raisi...kwa sababu hii nchi naona ovyoo tu na haina mbele wa nyuma!!


Ovyoooooooooo!!!!


Tunatakiwa kupimwa akili zetu
 
Kwa taarifa yako zimepata mshiko, mwakani pigeni kura sio kutambia mashabiki wenu ohhh mtalamba malimao sijui ukwaju. Nadhani mmeshajifunza. Halafu mwambieni msanii wenu atoe nyimbo chache lakin zinaZohiti

Naomba ukome kuniweka hayo mateam yenu.
 
Back
Top Bottom