Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Jana imepita hongera kwa washindi wote.

Sasa ni mwendo wa kuongelea kazi kazi KAZI na pesa ndefu inayofata
 
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.

Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.

Wewe mziki huujui, nenda siasa huko ukabishane.

ALI K alistahli tuzo moja tu.

Kupiga kura , kupipiga kura my foot.

Leo hii mnaanza ziamini kura, tena electronic votes.
Sht KTMA.
 
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.

Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.

acha matusi kwa mwanaume mwenzio,hayasaidi kila mtu anajua kutukana.jibu hoja
 
Walimwengu watu wa ajabu,wakiona mtu mafanikio yanaongezeka ndo chuki nazo juu yako zinakuwa lukuki.
 
Ally Hana jipya kwa wimbo gan haswa? Kucheza hajui wimbo mmbaya! Hana uwezo wowote ndio mana hakuwepo wamembeba sana! Hawawezinkuxuia mafuriko kwa mikono

Kiazi kweli ww... Yupi mwenye nyimbo nzuri? Wimbo upi wa diamond wenye maudhui kwa jamii? Wimbo upi wa diamond wenye kuhamasisha jambo? Hizo akili za kushikiwa
 
Wema na Kidoti ni wanawake wa ajabu,wapumbav na hawafai endelea ishi ktk nchi hii.

Yani wame lobby kwa nguvu zote KTMA 2015.., KISA TU DIAMOND AMEWALA NA SASA YUKO NA ZARI.

NI UJINGA MKUBWA KUTOKEA KWA TAIFA LA WATU WAZIMA.

NASHANGAA, NA HUENDA WALIGAWA MIZIGO KABISA KUWAFUMBA MACHO MA JUDGE YOTE KUMKOMOA DIAMOND.
 
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.

Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.

Wee jamaa inaonekana una takor laini sana! fanya kugawa number wenye njaa zao wakutafute!
 
Back
Top Bottom