Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Wema na Kidoti ni wanawake wa ajabu,wapumbav na hawafai endelea ishi ktk nchi hii.
Yani wame lobby kwa nguvu zote KTMA 2015.., KISA TU DIAMOND AMEWALA NA SASA YUKO NA ZARI.
NI UJINGA MKUBWA KUTOKEA KWA TAIFA LA WATU WAZIMA.
NASHANGAA, NA HUENDA WALIGAWA MIZIGO KABISA KUWAFUMBA MACHO MA JUDGE YOTE KUMKOMOA DIAMOND.
Ma judge walikuwa ni wanawake! sijui unamanisha mzingo upi kama ni wa hela wema hana uwezo wa kuwahonga ma judge wote!