neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
kwema lakn!
Fresh mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwema lakn!
We jamaa mpaka utunzi bora alistahili ? Mbele ya barnaba
Teh basi kiba amestahili pia
ana jina zuri la kiislamu
Ulipiga Kura?
Huyo faiza ni nani? Au mmbongo movie?
Ally Hana jipya kwa wimbo gan haswa? Kucheza hajui wimbo mmbaya! Hana uwezo wowote ndio mana hakuwepo wamembeba sana! Hawawezinkuxuia mafuriko kwa mikono
Mtu kama Christian Bella amekosa hata tuzo moja? Jamani are we serious? Haya, ommy dimpoz hata kuwekwa kwenye kipengele hata kimoja hamna? Haya, yamoto band kupata tuzo moja tu? Ovyo ooh! Wasengerema hawa!
mi niliiona tangu mwanzo kuwa iko boring nikalala, hata matokeo sikuyajua nikasema nitaingia JF asubuhi nipate habari zaidi.
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.
Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.
Nilipga kura zaid ya Mara 70
Na ninafurahia ushindi Wa kibanio
Kawabana sehemu Fulani hivi unnamed
Wewe mziki huujui, nenda siasa huko ukabishane.
ALI K alistahli tuzo moja tu.
Kupiga kura , kupipiga kura my foot.
Leo hii mnaanza ziamini kura, tena electronic votes.
Sht KTMA.
tuliwaambia hapa team chibu pigeni kura jamani pigeni kuraw
mkajua majaji watahamisha kura za kiba wampe mondi mavi yenuuu....
Tuache ukiba na unaseeb.
Tuzo za mtvmama tuiweke Tz mbele.
vote for Diamond.
vote for Vanessa.
Vote for Tz., be proud of Tz
Marahabaaaaa tukiamua kukuinua tunakuinua bureeee kabisa. Tukiamua kukishusha huchukui dakika. Niko busy kumvote davido
Marahabaaaaa tukiamua kukuinua tunakuinua bureeee kabisa. Tukiamua kukishusha huchukui dakika. Niko busy kumvote davido
davido........
tuiweke Africa mbele