Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Wewe huko team kiba unatetea team kiba post zako zote alafu unalaumu teams! Tetea team yako na wenzio watetee team zao. Ndio mziki ulipofika hatuna jinsi. Ila kiukweli mwaka wa Diamond tuzo 7 na wa 20% walistahili tuzo zote ata ukiangalia hapo. Ila mwaka huu inabidi kutumia nguvu kuupindisha ukweli uliokaa wazi.
hhahhhaaaahhhaaa....!!
gentlema n my foooot....!!