Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015


Nasikia kafuta post ngoja niende, nilisema tu atafuta na kweli keshafuta.
Yule mzee atakufa jamani, haya mambo atuachie vijana tu.
 

Mimi mbona hiyo category ya mtumbuizaji bora siioni? Nataka nikafanye yangu maana nimebakiza kipengele hicho tu.
 
Aibu iko palepale kwa KTMA...
hilo hawataliepuka.
 
are u tanzanian or a british ila diomond hakustahili hata hizo mbili ni huruma tu

You cant say "a british" it is "are you Tanzanian or British". Mimi ni mtanzania halisi. Your question just enlightened me to the type of people posting anti Diamond stuff in this forum. Not worth my time. And it is clear Diamond's success is what is bugging you all. Bye
 
Mimi mbona hiyo category ya mtumbuizaji bora siioni? Nataka nikafanye yangu maana nimebakiza kipengele hicho tu.
Nenda palipoandikwa BEST LIVE,i mean hiyo category inaitwa BEST LIVE
 
Ha hiyo ya MTV tutahakikisha hapatiii...labda ashindanie tuzo za kujaza mimba manungayembe
 

watu wamemchamba mpaka kaifuta
 
Aibu mtu una miaka 60,unafanya upuuzi kala ule halafu unajiita akili kubwa
 
tuzo zenyewe zinaitwa "KILL" Music Awardz unategemea nini sasa kwa mfano?
 

no davido no diamond for sure sasa ubora wake mnaosema mi siuoni coz anategemea collable halafu anajisifia mr masifa (domo)
 
Mtu na akl zako unatoa ushuz km huu.achen kufikiria km mazuzu kwa iyo icho kigezo cha mapenz ndo hajapata tuzo.ulitaka akuf**e ww.Kima kweli we jamaa
 
Mtu na akl zako unatoa ushuz km huu.achen kufikiria km mazuzu kwa iyo icho kigezo cha mapenz ndo hajapata tuzo.ulitaka akuf**e ww.Kima kweli we jamaa
kumbe jee
yaan mungu akituuliza atupe nini (zawadi) ila atamgia mond mara mbili kile atakachotupa
mfano:ampe kiba tuzo kumi na mond apewe ishirini....amfanye kiba milionea na mond bilionea BASI SISI TUTAMJIBU MUNGU AMFANYE KIBA KIPOFU JICHO MMOJA ili MOND apofushwe macho mawili
 
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?
 
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?
kumbe hujui anavyotukereketa

yaan Mungu akituuliza atupe nini (zawadi) ila atamgia mond mara mbili kile atakachotupa
mfano: ampe kiba tuzo kumi na mond apewe ishirini.... Amfanye kiba milionea na mond bilionea Basi sisi tutamjibu Mungu amfanye Kiba kipofu jicho moja ili mond apofushwe macho mawili
 
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?

Mimi ni team muziki mzuri haijalishi mwimbaji anatokea wapi upooo? Kwa taarifa yako nitapigia ata mawe ila sio chibu. Nazani umenielewa bibieee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…