Yaani le mutuz ndo kadhihirisha u boya wake,aibuuuuu,kili kampuni kubwa ile imesheheni wasomi wenye experience na PR,wafanye upu mbavu kama ule?le tumboz kwa akili yake kabisa anakimbilia insta kujisifu eti kili wametuma post kama ile,.aaaaaggggggggrrr
Mimi leo nimevote for davido,vanessa,sauti sol,na flavor pale kwenye category ya utumbuizaji,jana nimevote sana for diamond,ila leo niliposoma post za zari anatuponda watanzania tuache makelele kuwa wao wamezoea kimataifa zaidi,nikaapa i will never vote for Diamond again.kwanza wakipataga tuzo badala ya kufurahi na wao ni kuwaponda tu wengine live.
are u tanzanian or a british ila diomond hakustahili hata hizo mbili ni huruma tu
Ni tuzo na sio tunzo people
Nenda palipoandikwa BEST LIVE,i mean hiyo category inaitwa BEST LIVEMimi mbona hiyo category ya mtumbuizaji bora siioni? Nataka nikafanye yangu maana nimebakiza kipengele hicho tu.
Yaani le mutuz ndo kadhihirisha u boya wake,aibuuuuu,kili kampuni kubwa ile imesheheni wasomi wenye experience na PR,wafanye upu mbavu kama ule?le tumboz kwa akili yake kabisa anakimbilia insta kujisifu eti kili wametuma post kama ile,.aaaaaggggggggrrr
Yaani Christian bella the king meloadvocalist, amekosa tuzo ni wakati sasa Tushirikiane tupase sauti zetu zisikike huko BASATA.
You cant say "a british" it is "are you Tanzanian or British". Mimi ni mtanzania halisi. Your question just enlightened me to the type of people posting anti Diamond stuff in this forum. Not worth my time. And it is clear Diamond's success is what is bugging you all. Bye
Kwani tunzo ya mtumbuizaji bora ilikuwa ni ya nani? Hao kill basi wamewahujumu pia barnaba na Christian bella
kumbe jeeMtu na akl zako unatoa ushuz km huu.achen kufikiria km mazuzu kwa iyo icho kigezo cha mapenz ndo hajapata tuzo.ulitaka akuf**e ww.Kima kweli we jamaa
kumbe hujui anavyotukereketaUsichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?