Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #2,561
Yaani le mutuz ndo kadhihirisha u boya wake,aibuuuuu,kili kampuni kubwa ile imesheheni wasomi wenye experience na PR,wafanye upu mbavu kama ule?le tumboz kwa akili yake kabisa anakimbilia insta kujisifu eti kili wametuma post kama ile,.aaaaaggggggggrrr
Nasikia kafuta post ngoja niende, nilisema tu atafuta na kweli keshafuta.
Yule mzee atakufa jamani, haya mambo atuachie vijana tu.