Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015


ngassa amshinde ronaldo hapa bongoo...?!!
aahhh wapi..sina uzalendo huoo
 

Duh.... kaka umesema niko wrong kuhusu vanesa kuwa mmoja wa majaji ndio nimeulza hao maacademy kazi yao nin haujanijibu unaleta maelezo mengine. Anyway kwangu mimi haijalishi nani kashinda wasanii wote wanafanya kazi vizuri na wanastahili pongezi, hapo nlikuwa najaribu kueleza kwanin malalamiko yamekuwa mengi sana miaka yote kwa nchi yetu ndio nikatoa mfano wa nchi zingne namna utaratibu unaenda. Kuna tatizo hapoo!?
 
Kazi yao ndio ile ile wanayofanya wana academy wa KTMA kupendekeza nani na nani waingie kwenye kipengele gani sio waamuzi wa nani mshindi

Duh! Ndio maana walienda baada ya nominees kutangazwa si eti eeeh!?
 

Mimi nimekuelewa mkuu na wala sikulalamikii. Ila najaribu kukupa changamoto pia kwamba inabidi sisi mashabiki tujifunze kwanza Ni nini vigezo vya Award husika, kwa mfano kwa KTMA ilikuwa ni "Mshindi anapatikana kwa Wingi wa Kura za Mashabiki" na KTMA walikuwa wanarudia rudia sana kwenye Radio TV mitandao ya kijamii magazeti nk. sasa leo hii hao wanaolalamika wanalalamika basing on what?
 
Duh! Ndio maana walienda baada ya nominees kutangazwa si eti eeeh!?

Watu walipendekeza nani na nani waingie kwenye tuzo kwa njia ya sms kazi ya wana academy ni kuchambua wote walipendekezwa na kupitisha majina matano kila kipengele baada ya hapo ndio wanapigiwa kura kumpata mshindi
 
Hii sio haki hata kidogo! Mbona ananyanyaswa hivyo? Au kwasababu sio mtanzania? Tuzo ya kibakuli ya mtunzi bora angepewa yeye na nyimbo yake ya nani kama mama
 
Hii sio haki hata kidogo! Mbona ananyanyaswa hivyo? Au kwasababu sio mtanzania? Tuzo ya kibakuli ya mtunzi bora angepewa yeye na nyimbo yake ya nani kama mama

Kigezo kikuu cha mshindi wa KTMA (Kilimanjaro Tanzania Music Awards) ilikuwa ni wingi wa kura za mashabiki kwa msanii aliyekuwa nominated kwenye kila category, Je wewe ulipiga kura? Kama hukumpigia kura basi jilaumu mwenyewe, na kama ulipiga kura basi kura yako haikutosha kumfanya awe mshindi
KUMBUKA KIGEZO CHA MSHINDI WA KTMA KTK KILA CATEGORY NI WINGI WA KURA ZA MASHABIKI.
ACHA KULALAMIKA FUATA VIGEZO NA MASHARTI YA KTMA
Ni hayo tu.
 
na ali kiba basi anyang'anywe kama sitti mtevu

Huyo Sitti Mtemvu alinyang'anywa baada ya kukiuka vigezo na masharti ya Miss Tanzania ktk kigezo cha Umri.
Ushindi wa Alikiba umezingatia vigezo na masharti yote ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) kwa maana ya

1. Alikiba alikuwa mmojawapo wa nominees ktk kila category aliyoshinda.

2. Alikiba alipigiwa kura na mashabiki kumuwezesha kushinda tuzo.

Vigezo na Masharti vilizingatiwa hivyo tuzo alizoshinda Alikiba ni halali yake.

Jipange Mwakani kupiga kura za kutosha kwa mwanamziki unayempenda.
 
Hahahahaaa, huyu jamaa sasa kazidi kwa matamkoz...siku hizi anayaita LE MUTUZ EXTRA STRAIGHT LIVE TALK!
Nimemuona tokea jana, na tusubiri tuone....
Nimesoma haya malalamiko ya le mutuz nikajiuliza huwa haonagi makada wanavyokuwa wasimamizi wa uchaguzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…