Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mfumo ulitumika hauangalii ubora wa msanii wala uwezo wake check BET mfano wao wanatumia majaji kama 500 kama mnakumbuka vanessa mdee alikuwa mmoja wao mwaka jana hvi ndio huwa wanachambua nani anastahili. kwa international awards huwa kuna majaji na kuna kitu inaitwa country votes inaangaliwa umepata kura kutoka kitika nchi ngap afu kila nchi idadi fulani ya kura inakuwa point moja(ndio maana tuliwashinda wanaigeria BBA na Chanel 0 mwaka jana wangekuwa wanahesabu kura hakuna hata mtu mmoja kutoka nje ya nigeria angekuja kushinda hzo Tuzo), lakini pia huwa wanakitengo kinaitwa viewers choice award ambacho hicho ndo mashabiki huwa wanachagua. Kwa Tanzania inaonekana vyote huwa wanachagua mashabiki and let face it mwaka huu ilikuwa (jokate+wema+alikiba) ilikuwa lazima ushindi tu. Ukitumia mantiki ya kura maana yake hata leo hii ukileta Ronaldo VS Ngasa kwa Tanzania hii ngasa atashinda coz ana fanbase kubwa bongo ila sio kwamba yeye ni bora.
ngassa amshinde ronaldo hapa bongoo...?!!
aahhh wapi..sina uzalendo huoo