Na Wema alikuwepo
miss Tanzania ana nyama uzembe ya tumbo,utafikiri alishaonja labour
Kura yangu nampa Fid Q.Kaka zangu weusi mnisamehe tu.
Nooooooooooooooooo
Bora Niki wa pili
Dah! Fid Q wamemtosa!
Miss Tz ana kitambi! Uwiiiiiiii.
sannnaaaaaaaa
Miss Tz ana kitambi! Uwiiiiiiii.
JOH MAKINI acpochukua tuzo mwaka huu basi hatopata tena.
Joooooh makin woyooooooooo
hapana vanessa kavuruunda,Ila natamani Yamoto band wachukuwe tena,ila vanesa nae kaiimba vizuri