Umemsahau na Ben paul
Bella kwa sauti ni kiboko yao aisee. Namkubali mbaya ingawa Leo kakosa tuzo.
Duuh mbwa??? Haya
hizi tuzo kuna kitu nakiona nyuma ya pazia hasa kwa wasanii kiba na diamond.
kuna mchezo wamecheza ili kubalance game kuna kitu wana hofia kutoka kwa team kiba na team mond!
Ni mawazo yangu na haya fungamani na upande wowote leo nasimama kama free obsever.