Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Nasubiria kwa hamu msanii bora wa kiume bongoflavor,hapo kuna watu wataparuana hapa
 
Huwezi jua inawezekana akwa ndio baba yake, au dunian wawili wawili... chagua principle moja utakayoona inakufaa

Baba yake....Hahahahaaa
Hapa mama alichepuka kwakweli!
 
Wema huo ni mchina au ndo alivyo?
Napenda Sauti yake tuuu



Joooooh
 
Wakimaliza kugawa tunzo wampe na mzee wa le tamkoooooooz. Mzee wa akili kubwa anajitahidi sana kukurupuka Hahaha
 
Hii category ya kutumbuiza Christian Bella anaistahili kwakweli
 

Hata mi nimefikiria ka wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…