Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

wadau kwa yeyote anaeshuhudia update za tuzo za kili atupe update wengine tupo kenya tunashindwa kupata access
Utakosaje access na wewe upo taifa kubwa?
Waache vifaranga na mambo yao, angalia tuzo za wajaluo.
 
Fetty kapendeza sio mbaya...ila sijapenda Zembwela kuwa MC.
Natamani Mpoki angekuwepo nicheke!
 
Naona Zembelewa ndio Mc wa shughuli ya leo.
 
ha ha ha ha ha... Deo Corleone ! Huyo dada anapuliza moto
 
Last edited by a moderator:
DJ fetty akivaa kama mwanamke huwa anapendeza saana huyu dada...
 
Back
Top Bottom