Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Tusilalamike bila kupiga kura..
Kuna timu ilijipanga kuonyesha inataka kitu lakini kuna watu hawampendi diamond kwa kuwa tu amefanikiwa...
Wengi wao ni wachawi hao.
Big up kiba,Mzee Yusuph,Diamond na wengine.
Pole Jide,Belle na Bella.
Support muziki mzuri,Tanzania tufike mbali.

"Nlikuwepo":bolt:

belle 9 nae ana gundu akanywe maziwa ya simbilisi aondoe nuksi.
 
tusilalamike bila kupiga kura..
Kuna timu ilijipanga kuonyesha inataka kitu lakini kuna watu hawampendi diamond kwa kuwa tu amefanikiwa...
Wengi wao ni wachawi hao.
Big up kiba,mzee yusuph,diamond na wengine.
Pole jide,belle na bella.
Support muziki mzuri,tanzania tufike mbali.

"nlikuwepo":bolt:
ni ujuha kutoa tuzo kwa kura tu,narudia ni uboya.yaani tuseme video bora iwe salima_linex over ntampata wapi kisa kura.so ashamed sometimes of being black...low minded people.anyways nadhani msanii anashuka mwenyewe kama kiba alivyoshuka mwenyewe "hii ya kulazimishwa kushushwa ni ushoga grade a+".
 
kwenye swala la kutawala jukwaa Diamond hana mpinzani hapo mkuu, bora wangemnyima category nyingine zooote lakini sio hapo

Mashabiki wameshaamua nyie.endeleeni kuwalambisha mashabiki wenu ndimu na ukwaju si ndo tambo zenu??? Hhahaha lazima mbadilike
 
ni ujuha kutoa tuzo kwa kura tu,narudia ni uboya.yaani tuseme video bora iwe salima_linex over ntampata wapi kisa kura.so ashamed sometimes of being black...low minded people.anyways nadhani msanii anashuka mwenyewe kama kiba alivyoshuka mwenyewe "hii ya kulazimishwa kushushwa ni ushoga grade a+".

Kwani tulizopata mwaka jana hazikuwa kwa kura?
 
kama hii nchi imefikia mpaka huku na watu wanaona sawa tu, then we should forget about development!!
...I can't blv kiba n mtumbuizaj bora over diamond !!!
...not true, na dhambi ya unafiki ni mbaya sana!
...tujaribu kuwa na hofu ya Mungu kidgo, haki itendeke! Na kwenye ukweli tuseme tu ukweli.

Kwa akili ndogo hiz za hawa mburullaz (in le mutuz voice) ukiwauliza kwann wanamdis diamond hawatakupa jibu, asa diamond kakosa tuzo, fyn, then ww unafaidika na nin ??

Am sure hatuez kuendeleza mzk wetu kwa style hii......tujifunze kwa wenzetu wanaija wanavosapotiana, that's why ukiwahesabu waliotok kwa africa wanafika zaid ya 20, lakin cc kna mtu mmoja tu anatuwakilisha mpk nje still tunztak kumvunja moyo na kumshusha!
....ili iweje labda???

Wenye akili kubwa watakuwa wamenielewa.
 
Hahahaha wao ndio inawauma ndio maana wanawafata mpaka MTV.. Kazeni buti safari ya mafanikio ina mengi


Tuzo zimekuja tumefurahia kuangalia

Sasa ni mwendo wa kazi zionekane na sio maneno na ushabiki.

Tutawasubiri sasa waanze kuongelea kazi za wasanii wanavyojituma na kutuonyesha wanafanya nini na awalali

Mie naanza kumfatilia yule de prince nimesikia mziki na sauti yake nimeipenda...natumaini nae atajitangaza na kuonyesha kazi zake chipukizi huyo

happy kuona wasaniii wakijituma na kuthamini kazi zao na matunda wanayopata sio kulala

Kupiga kura Diamond Platnumz kategori 3, vanessa 1 ingia kwa link

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************
 
Tujadili hili la Fid q kesho.

Nimehuzunishwa sana,nitachukua maamuzi magumu

Huyo kaka yenu nilishaongea nae hapa www.jamiiforums.com/celebrities-forum/744543-fid-q-chukua-tahadhari-umeshuka-sana-kimuziki.html#post10923395 hakunielewa. Kiufupi ni kwamba hakustahili tuzo
note: i am fid q fan
 
Tuzo zimekuja tumefurahia kuangalia

Sasa ni mwendo wa kazi zionekane na sio maneno na ushabiki.

Tutawasubiri sasa waanze kuongelea kazi za wasanii wanavyojituma na kutuonyesha wanafanya nini na awalali

Mie naanza kumfatilia yule de prince nimesikia mziki na sauti yake nimeipenda...natumaini nae atajitangaza na kuonyesha kazi zake chipukizi huyo

happy kuona wasaniii wakijituma na kuthamini kazi zao na matunda wanayopata sio kulala

Kupiga kura Diamond Platnumz kategori 3, vanessa 1 ingia kwa link

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************

Hatubonyezi
 
Back
Top Bottom