Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Diamond hivi karibuni alitoa kauli kuwa "Ali Kiba anakula makombo yake" akimaanisha uhusiano wa Ali Kiba na Jokate Mwegelo eti Jokate ni makombo ya Diamond!

Hilo ni tusi na alipaswa kuomba radhi na kuonyesha kujutia kauli yake hiyo! Hivi mtu na akili yake timamu tena kioo cha jamii kwenye nchi ya maadili unatoa kauli kama hiyo?

Hamuwezi amini lakini hata hizo tuzo mbili ilikuwa ni kumhurumia tu kwani hakustahili! Ni lazima afunzwe adabu!

Tukianza kutoa lugha chafu kama hizo hatujengani kisanii! Jokate naye ni msanii na hapaswi kudhalilishwa na mwanaume kisa eti alimpa penzi!

Hapana huyu ni lazima ajirudi na ajuwe kuwa yeye ni kioo cha kujenga jamii na siyo kuibomoa! Nadhani hilo ni onyo kali kwake!

iyo ni chuki yako binafsi kwake,unampenda ali kiba and thats it.
 
Wewe mleta mada ulimsikia akisema na maneno yake au aliandikwa nawe ukakimbilia kusema ndio amaeyasema.

Kweli Diamond akiyekolea kwenye mapenzi na Zari ndio aanze kuhangaika na Jokate wa enzi za zamani.

Tafuta sababu ingine ya kumchukia, khaaaaa.

Pigeni kura sasa tupo kimataifa


********

Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

http://mama.mtv.com/voting/


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************
 
Mashabiki wa Diamond leo kwao ni vilio hahahhaha wapi sankoro, wapi kama Ronaldo
 
1.Kiukweli kabisa, kutegemea kashfa za ngono zikuinue kimziki, ipo siku watu watakasirika na kukumwaga coz mabinti au mabwana unaowatenda, wana ndugu jamaa marafiki na mashabiki ambao ndio hao hao wanaolipa viingilio na kukupigia kura.

2. Unapozidharau tuzo za nyumbani, mazingira ya nyumbani na wanamuziki wenzio wa nyumbani, eti "its too local" unajikata mizizi mwenyewe, na soon majani yako yatakauka na kufa kabisa kimziki.
Ni hayo tu, mfikishieni mhusika.

Asante mkuu, umemaliza yote.
 
Wewe mleta mada ulimsikia akisema na maneno yake au aliandikwa nawe ukakimbilia kusema ndio amaeyasema.

Kweli Diamond akiyekolea kwenye mapenzi na Zari ndio aanze kuhangaika na Jokate wa enzi za zamani.

Tafuta sababu ingine ya kumchukia, khaaaaa.

Pigeni kura sasa tupo kimataifa


********

Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************

Nakuhakikishia hapati! Mshauri afute kauli na ajutie! Hawezi kumdhalilisha mwanamke ambaye sisi tulimthamini kupita kiasi! Katembea na wengine zaidi ya Diamond na ana haki ya kuhifadhiwa siri zake!
 
Alistahili, THE RETURN OF KING KIBA imeleta maana sasa.

Nilikua najiandaa kumpigia kura Dai
Ila no nimebadri maamuzi
Kwasabbu yeye na mkewe akili zao sawa na miguu ya Kuku

Nitavote 4sautisol√√√
 

Attachments

  • 1434278299089.jpg
    1434278299089.jpg
    37.8 KB · Views: 190
daa! angekuwa kwa jamaa wa ISIL, alshaabab, ALQAIDA, bokoharam, na taliban Aisee huyo dem hana kichwaa saizi!
 
Nakuhakikishia hapati! Mshauri afute kauli na ajutie! Hawezi kumdhalilisha mwanamke ambaye sisi tulimthamini kupita kiasi! Katembea na wengine zaidi ya Diamond na ana haki ya kuhifadhiwa siri zake!

Afute kauli aliisema lini, muda gani, wapi?

Mwacheni kumsingizia mtotobwa Tandale kila kukicha.
 
Diamond hivi karibuni alitoa kauli kuwa "Ali Kiba anakula makombo yake" akimaanisha uhusiano wa Ali Kiba na Jokate Mwegelo eti Jokate ni makombo ya Diamond!

Hilo ni tusi na alipaswa kuomba radhi na kuonyesha kujutia kauli yake hiyo! Hivi mtu na akili yake timamu tena kioo cha jamii kwenye nchi ya maadili unatoa kauli kama hiyo?

Hamuwezi amini lakini hata hizo tuzo mbili ilikuwa ni kumhurumia tu kwani hakustahili! Ni lazima afunzwe adabu!

Tukianza kutoa lugha chafu kama hizo hatujengani kisanii! Jokate naye ni msanii na hapaswi kudhalilishwa na mwanaume kisa eti alimpa penzi!

Hapana huyu ni lazima ajirudi na ajuwe kuwa yeye ni kioo cha kujenga jamii na siyo kuibomoa! Nadhani hilo ni onyo kali kwake!

mkuu umebwqbwaja pumba, hizo tuzo zenyewe sio watanzania waluopiga kura ni team za watu flan hivi zillizowaruka kama wewe
 
Back
Top Bottom