Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaaa mie uwanjani kwangu sitaki njumu.. Uko tayari...
Et daaah hali iyo/hii anakosaje ?
Hahaahaa DEMBA kwani hujawahi kuona mtu anayefanya vizuri anaambiwa ni nyoko
Huyo faiza ni nani? Au mmbongo movie?
i see,,,Haina haja ya kwenda USA kumuona Lady Gaga na Miley
Ni mke wa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi!
Ni shemeji wa John Mnyika Mungi Crashwise na pia shemeji wa Slaa na Mbowe! Pia ni wifi wa Halima mdee...! rose mayemba! Pia ni wifi na shemeji wa Bavicha na Bawacha!
Kiufupi ni kamanda na tukichukua nchi lazima awe waziri wa utamaduni na mavazi...
Peopleees....
Huyu atakuwa na pepo anahitaji kuombewa
is true anajua sana and what happened last night it was only because of poor vigezo vya kuwapata washindi ikiwepo ya kufanya kula za watu ndo zitoe ushindi wakati kila shindano the last people to decide ni majaji so stop saying your stupid things if hutampigia kula wapo wataompigia.... i hate these kind of people ambao hawjui hata wanaandika nini... rudi darasanai
Na akose tu,hamna tena jinsi. Kumpigia mwaka jana mlisema kwa kuwa anaiwakilisha Tanzania na tuweke uzalendo mbele. Sahv hata sitopiga tena maana mkishinda mnajisahau mnamuona anajua zaid ya wote. Ataishia kupata video bora bongo tena mwisho mwaka huu
Hahahahaaa, mkuu umenivunja mbavu.
Na AKOSE tu maana hakuma namna nyingine. ...