kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Hahahahaaa, leo wana msiba! Nilisema mimi kuna watu hatutawaona huku wiki nzima.
Diamond Total career Awards--- 25
Alikiba Total career Awards--- 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa, leo wana msiba! Nilisema mimi kuna watu hatutawaona huku wiki nzima.
Kilichombeba Ali Kiba ni chuki za wapiga kura kwa Diamond ila ukweli utabaki palepale kuwa Diamond yuko mbali sana ukimlinganisha na Ali Kiba
Diamond Total career Awards--- 25
Alikiba Total career Awards--- 8
Okay I see. Kumbe hivi ndio vilikuwa vigezo vya kumpata mtunzi bora, mtumbuizaji bora na wimbo bora tuzo za KTMA? Death of bongo fleva.
me too
na nawashawish watu 30 ninaowajua wenye smart phone kufanya hivyo
Kawaida ya wabongo wanapenda sn kufata mkumbo,Kiba anajua bt bado hajafikia level ya Domo,sikulazishi ukubaliane na mimi
Kawaida ya wabongo wanapenda sn kufata mkumbo,Kiba anajua bt bado hajafikia level ya Domo,sikulazishi ukubaliane na mimi
Mmmh, Mimi sina timu ila napenda music,
Weka Tanzania, mbele Mkuu
siku davido alipo mdis naseeb alidis Tz nzima...na wew ukiwa mmoja wapo.
Leta heshima kwa tz
Mkuu huu uzi
Ufungwe tu
Umekosa radha
Kushupaa kwa aina hii kumemfanya Diamond akapotezwa! Huamini?
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.
Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.
eti ni kweli DIAMOND alisema hamna hotel ya yeye kulala MBEYA kwa hadhi yake????
nimeona hiii
Nakuhakikishia hapati! Mshauri afute kauli na ajutie! Hawezi kumdhalilisha mwanamke ambaye sisi tulimthamini kupita kiasi! Katembea na wengine zaidi ya Diamond na ana haki ya kuhifadhiwa siri zake!
mkuu umebwqbwaja pumba, hizo tuzo zenyewe sio watanzania waluopiga kura ni team za watu flan hivi zillizowaruka kama wewe