Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Balantanda Toka wajue hizi teams ni majanga.Washakuwa kama simba na Yanga.Unapoteza bites za bure kuwaelewesha
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua najiandaa kumpigia kura Dai
Ila no nimebadri maamuzi
Kwasabbu yeye na mkewe akili zao sawa na miguu ya Kuku
Nitavote 4sautisol√√√
Huyu pamoja na utu uzima ndo anafikiria hivi ama kweli ana shiida. Ndo wanawapa mashabiki makavu live ashupazaye shingo. Msanii ni mashabiki na support.
Nilisema mjiandae kwa dhoruba kali ndio tumerudi hivyo, yametimia.
Halafu sioni mantiki ya kuweka tuzo zote kwa ujumla ilhali kipindi diamond anakusanya tuzo zote hizo Ali Kiba alijipa likizo ya muziki.
Sasa karudi tuwapambanishe kwa wakati huu.
Ndio hawaipati kura yangu tena
Ngoja na mimi nikapige, ila namkubali Wizkid zaidi.
Nitawapigia wote basi.
Yaan hata siamini, leo ktma imekuwa mahala pa watu kuendesha u simba na yanga??!!! Pole bongo flava.... Hiv kweli Kiba anaweza kuwa mtumbuizaji bora mbele ya Chibu, kweli...?! Kwa show ipi kwanza?! Sidhani kama hata Kiba mwenyewe (kama anajitambua) atashangilia eti kawa mtumbuizaji bora.. Wanamjaza sifa ambazo hana kisa tu wanachuki na mafanikio ya diamond..!! Ajabu sana aisee.. Mtv, bet, channel o hawana hizo na ndo maana Neno Kiba ni msamiati usio eleweka kule.... Basata pambanisheni vipaji halisi na si hii kubalansisha vipaji.. visivyobalansika by nature....
Huku nchi za wenzetu wako tofauti Sana,
Kama wa-south wanasuport Sana watu wao, na ukiwauliza wana kwambia wa-tz wako vizuri kwny entertainment hasa big-brothers huwa wanafanya vizuri...
so its quietly different from hapo kwetu tz
is true anajua sana and what happened last night it was only because of poor vigezo vya kuwapata washindi ikiwepo ya kufanya kula za watu ndo zitoe ushindi wakati kila shindano the last people to decide ni majaji so stop saying your stupid things if hutampigia kula wapo wataompigia.... i hate these kind of people ambao hawjui hata wanaandika nini... rudi darasanai
mashabiki wa ali kiba kumbe si kwamba ni mashabiki wa kumkubali yeye kama yeye. bali ni mashabiki wanaosukumwa na hatting kwa diamond. poor people
Nilikua najiandaa kumpigia kura Dai
Ila no nimebadri maamuzi
Kwasabbu yeye na mkewe akili zao sawa na miguu ya Kuku
Nitavote 4sautisol√√√
Una chuki za wazi
Kwa taarifa yako cheketua video tayari kitambo tu
Subiri ianze kupigwa
Note; andaa comment za kuiponda hyo video
Nataka
Nikuvotie wewe
Uwe miss world