kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Nilisema mjiandae kwa dhoruba kali ndio tumerudi hivyo, yametimia.
Halafu sioni mantiki ya kuweka tuzo zote kwa ujumla ilhali kipindi diamond anakusanya tuzo zote hizo Ali Kiba alijipa likizo ya muziki.
Sasa karudi tuwapambanishe kwa wakati huu.
mbona husemi Alikiba alitangulia kuanza muziki?
Anyway 25-8 = ???