Hahahahaaa, leo wana msiba! Nilisema mimi kuna watu hatutawaona huku wiki nzima.
mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa, leo wana msiba! Nilisema mimi kuna watu hatutawaona huku wiki nzima.
mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea
Acha kutafta sababu simple umejuaje kuwa watanzania hutafta sababu ya kumshusha mtu akiwa top. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa what the hell is kushushwa😱😱
Yani unatafta sababu eti kiba anatumia bifu really:what::what: msijidanganye ka kiba alitumia bifu kurudi kwanini domo asitumie hlo bifu kuchukia tuzo.
Kaeni chini na msanii wenu muangalie mlipoteleza sio kusingizia Watanzania kwa failure ya mtu na mambo yako. Sio visababu vya kijinga eti bifu anaonewa wivu anataka kushushwa.
mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea
Mimi nimeleta namna Kili walivyoomba radhi hayo mengine muangaike nayo wenyewe kama mlivyoangaika toka jana usiku kupingana na ukweli. Sasa ukweli umejulikana.
Basi sawa
Sasa hizo tuzo kuziweka ndo nini. Poleni sana mna tuzo nyingi bado kiba akichukua mnaumia hadi uzito unapungua.
Kiba kiboko yao kubalini tu sio kutafta bisababu vya kijinga.
Teh teh wa international recognised let wait and see.
Ndo hizo kauli zake aziandikazo bila kufikiria kudhalilisha wanawake ndo sifa na kutafta kiki na kuwatema. Msanii huwezi ukawa unawachamba mashabiki daily. Hicho kitabia kawaambukiza hadi mashabiki.
Badala waombe kura wao ni kupiga vijembe eti wanaonewa wivu.
Ni changamoto tu ili wengine watamani kuzipata.
Hahahahaaa, leo hadi unatia huruma! Huyu sie matumbo tuliyemzoea, pls nenda kapumzike tu maana naona umechanganyikiwa kwa sasa.
Utakaporudiwa na akili zako utajishangaa mwenyewe!
mkuu
sijaona sababu ya kuwaka kwako. Mimi natoa facts tuu.
Unaweza ukampigia Davido na wengine tuu .
Choice is yours...
kama si majaji hata hizo mbili asingezipata...yaan KIBA angempurura zote
kila siku kazi yake ni kutafuta kimsemo cha kuwakera mashabiki wa mziki.
UKIMPIGIA KURA KIBA ANARUDI KUSHUKURU,,,,,ukimpigia mond anarudi kukukashifu kama sio kukutukana
to be honest wimbo wa mwana ni mzuri sana...bonge la kiburudisho
dah hawa te daimond hawajielewiiu
yaani wamechanganyikiwa leo duhh
kura hawapigi sijui walitegemea wakika ubungo kusubiri meli itafika....
hoyooo
Jamani hiyo ni "FAKE PAGE"...na hiyo habari inaenea kwa kasi sana mitandaoni,Ok!..nahii inaonyesha ni jinsi gani " team diamond " hawakubali ukweli hadi kutengeneza account fake,tujikumbushe ya wahenga "ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI"
View attachment 260158View attachment 260158
Na hiyo apo juu ndo official page ya KTMA2015... Dah!..kweli binadamu hatareee maana hata logo za TBL hazifanani kabisa hapo,viva kingkiba!!!!!