Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hahahahaaa, leo wana msiba! Nilisema mimi kuna watu hatutawaona huku wiki nzima.

mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea
 
Mimi nimeleta namna Kili walivyoomba radhi hayo mengine muangaike nayo wenyewe kama mlivyoangaika toka jana usiku kupingana na ukweli. Sasa ukweli umejulikana.
 
mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea

Hahahahaaa, aiseee leo jukwaa limepoa balaa. Watu wamekula kona zamaniiii, kuna watu tokea jana sijawaona kabisa.
Na bado hii wiki ni yao.
Huyo domo muache avune alichopanda, hawezi kutudhalilisha wanawake halafu tukamchekea.
 
Acha kutafta sababu simple umejuaje kuwa watanzania hutafta sababu ya kumshusha mtu akiwa top. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa what the hell is kushushwa😱😱
Yani unatafta sababu eti kiba anatumia bifu really:what::what: msijidanganye ka kiba alitumia bifu kurudi kwanini domo asitumie hlo bifu kuchukia tuzo.
Kaeni chini na msanii wenu muangalie mlipoteleza sio kusingizia Watanzania kwa failure ya mtu na mambo yako. Sio visababu vya kijinga eti bifu anaonewa wivu anataka kushushwa.

Basi sawa
 

Attachments

  • 1434293365995.jpg
    1434293365995.jpg
    30.7 KB · Views: 175
mond analeta utandale anamdhalilisha mwanamke kwa kumuita makombo, jana usiku tumemwonyesha kama ni utandale sisi tunatandalika zaid yake....ajifunze kuongea

Ndo hizo kauli zake aziandikazo bila kufikiria kudhalilisha wanawake ndo sifa na kutafta kiki na kuwatema. Msanii huwezi ukawa unawachamba mashabiki daily. Hicho kitabia kawaambukiza hadi mashabiki.
Badala waombe kura wao ni kupiga vijembe eti wanaonewa wivu.
 
Mimi nimeleta namna Kili walivyoomba radhi hayo mengine muangaike nayo wenyewe kama mlivyoangaika toka jana usiku kupingana na ukweli. Sasa ukweli umejulikana.

Hahahahaaa, leo hadi unatia huruma! Huyu sie matumbo tuliyemzoea, pls nenda kapumzike tu maana naona umechanganyikiwa kwa sasa.
Utakaporudiwa na akili zako utajishangaa mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Basi sawa

Sasa hizo tuzo kuziweka ndo nini. Poleni sana mna tuzo nyingi bado kiba akichukua mnaumia hadi uzito unapungua.
Kiba kiboko yao kubalini tu sio kutafta bisababu vya kijinga.
Teh teh wa international recognised let wait and see.
 
Sasa hizo tuzo kuziweka ndo nini. Poleni sana mna tuzo nyingi bado kiba akichukua mnaumia hadi uzito unapungua.
Kiba kiboko yao kubalini tu sio kutafta bisababu vya kijinga.
Teh teh wa international recognised let wait and see.

Ni changamoto tu ili wengine watamani kuzipata.
 
Jamani hiyo ni "FAKE PAGE"...na hiyo habari inaenea kwa kasi sana mitandaoni,Ok!..nahii inaonyesha ni jinsi gani " team diamond " hawakubali ukweli hadi kutengeneza account fake,tujikumbushe ya wahenga "ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI"
View attachment 260158View attachment 260158
Na hiyo apo juu ndo official page ya KTMA2015... Dah!..kweli binadamu hatareee maana hata logo za TBL hazifanani kabisa hapo,viva kingkiba!!!!!
 
Ndo hizo kauli zake aziandikazo bila kufikiria kudhalilisha wanawake ndo sifa na kutafta kiki na kuwatema. Msanii huwezi ukawa unawachamba mashabiki daily. Hicho kitabia kawaambukiza hadi mashabiki.
Badala waombe kura wao ni kupiga vijembe eti wanaonewa wivu.

kama si majaji hata hizo mbili asingezipata...yaan KIBA angempurura zote
kila siku kazi yake ni kutafuta kimsemo cha kuwakera mashabiki wa mziki.

UKIMPIGIA KURA KIBA ANARUDI KUSHUKURU,,,,,ukimpigia mond anarudi kukukashifu kama sio kukutukana
to be honest wimbo wa mwana ni mzuri sana...bonge la kiburudisho
 
Ni changamoto tu ili wengine watamani kuzipata.

Kila mtu ana mipango yake kwenye life hata ungeweka tuzo sijui vitu vya thamani mtu kama hana interest hawezi Fanya.
Kila mtu hufanya vitu kwa mtazamo wake sio kujaribu kuiga njia iliyotumiwa.
 
Tuzo wanapigia kula watu. Huyu meneger wa tbl ndo nani sasa wa kuaminisha kuwa inamakosa?
Pia unaposema imekosewa inamaana walikosea kuisoma au kuhesabu hizo kula
Cha kushangaza ni uwandishi wa neno daa ndo napoingiwa na shida hapo kuwa taasisi kubwa kama tbl wanaweza ku present fact zao kwa huu mfumo..
 
Hahahahaaa, leo hadi unatia huruma! Huyu sie matumbo tuliyemzoea, pls nenda kapumzike tu maana naona umechanganyikiwa kwa sasa.
Utakaporudiwa na akili zako utajishangaa mwenyewe!

dah hawa te daimond hawajielewiiu
yaani wamechanganyikiwa leo duhh

kura hawapigi sijui walitegemea wakika ubungo kusubiri meli itafika....
hoyooo
 
Last edited by a moderator:
kama si majaji hata hizo mbili asingezipata...yaan KIBA angempurura zote
kila siku kazi yake ni kutafuta kimsemo cha kuwakera mashabiki wa mziki.

UKIMPIGIA KURA KIBA ANARUDI KUSHUKURU,,,,,ukimpigia mond anarudi kukukashifu kama sio kukutukana
to be honest wimbo wa mwana ni mzuri sana...bonge la kiburudisho

Na hizo bado alibebwa vile vile sijui hanaga washauri wazuri kumshauri kabla ya kuropoka. Msanii unawalambisha ndimu ma fans kweli? Daily kutafta kiki za wanawake loh!
Akishashinda tuzo lazma aanze Ku diss ma fans na anaofikiri ni haters wanamuonea wivu.
Mwana ule wimbo ni mzuri na ametumia fasihi sana na ina ujumbe murua.
 
dah hawa te daimond hawajielewiiu
yaani wamechanganyikiwa leo duhh

kura hawapigi sijui walitegemea wakika ubungo kusubiri meli itafika....
hoyooo

Hahahahaaa,hakuna siku ngumu kwa mashabiki wa diamond kama leo kwakweli, huyo matumbo anaita wenzie washamba yeye mjanja sana ndio nini hiki?
Yaani badala atulie kwanza autafute ukweli anakimbilia kupost ili atukomoe sijui?
Pole zenu jamani! Maana wengine mmejificha kama panya shimoni!
 
Jamani hiyo ni "FAKE PAGE"...na hiyo habari inaenea kwa kasi sana mitandaoni,Ok!..nahii inaonyesha ni jinsi gani " team diamond " hawakubali ukweli hadi kutengeneza account fake,tujikumbushe ya wahenga "ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI"
View attachment 260158View attachment 260158
Na hiyo apo juu ndo official page ya KTMA2015... Dah!..kweli binadamu hatareee maana hata logo za TBL hazifanani kabisa hapo,viva kingkiba!!!!!

Asante sana mkuu, hakika hili ni pigo jingine kubwa kwa mashabiki wa diamond walioanza kujiaminisha kua wako sahihi.
 
Back
Top Bottom