Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu na akl zako unatoa ushuz km huu.achen kufikiria km mazuzu kwa iyo icho kigezo cha mapenz ndo hajapata tuzo.ulitaka akuf**e ww.Kima kweli we jamaa
Hahahahaaa, na tuwapigie wanaija tu maana hakuna jinsi.
Mimi sioni hiyo category ya best live performance sijui kwanini, ngoja nikaitafute.
Hahahahaaa, mkuu nimecheka sana! Hata hivyo ngoja nilifikirie hili ombi lako, ila nikikumbuka kuhusu zile tambo zao natamani nizidi kuwaumiza zaidi ya hapa.
Hakika leo kuna watu wanatamani wangeweza kuwa mods japo kwa dk 5 tu wanipige ban moja kali sana..lol
Asante sana mkuu, huu ni mwanzo tu.
Hizo sio tuzo tuuu, watu wamewekeza, watu wanafanya Business hapo wewe. Arusha na Mwanza unafikiri wapi wanakunywa sana Bia? Nani ana influence jamii ya unywaji? Urafiki pia unaingia hapo.Mhhhhh kwanini uhusishe uchaga na ARUSHA kupokea tuzo aisee wala ushindi hauhusiki na unywaji wa Bia. Tuzo unaweza isiwe fair lakini si kwa hizo sababu ulizotoa.
Harsty generalization ni false.
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?
Hahahahaaa, leo wanatapikaje huko waliko? Hakika leo tumewachapa kinoma nomaaaa...lol
Hawajawahi kuwa na siku mbaya kama ya leo!
Tumpende diamond kwa lipi na manyimbo yake ya kinigeria,tunamsubilia diamond atusue kimataifa akiwa mwenyew sio kubebwa bebwa na akina iyanya,
Ujingaujinga huu umemfanya boss wako muda huu analia! Sijui kwanini hamjifunzi? Mtu asikurupuke na kutukana bila kujua impacts za hayo matusi!Mtu na akl zako unatoa ushuz km huu.achen kufikiria km mazuzu kwa iyo icho kigezo cha mapenz ndo hajapata tuzo.ulitaka akuf**e ww.Kima kweli we jamaa
Kwa maneno waliyosema kil inaonyesha bas tuzo sio kura za mashabik may b ni kura zao wenyewe