Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Watanzania mna chuki za kutisha aisee! dah!, hivi huyu Diamond kama asingekuwa anakubalika na hao wanamuziki wa Nigeria mnadhani wangekubali kushirikiana naye kwenye muziki na hivyo kupoteza muda na pesa zao chungu nzima? Acheni chuki zenu za kutisha dhidi ya Diamond.
Umeongea ukweli, ila hii mambo ya #mimiteamfulani inaua game...