Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
naoma umedandia tu treni kwa mbele hiyo kazi ya kusoma upya post nakuachia wewe mi nipo napika ukisoma upya uje na comment mpya tujadiliJisome upya post zako. Mbona mmepanic sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naoma umedandia tu treni kwa mbele hiyo kazi ya kusoma upya post nakuachia wewe mi nipo napika ukisoma upya uje na comment mpya tujadiliJisome upya post zako. Mbona mmepanic sana?
naoma umedandia tu treni kwa mbele hiyo kazi ya kusoma upya post nakuachia wewe mi nipo napika ukisoma upya uje na comment mpya tujadili
Ivi mbona tunatafuta pa-kujishikia sana kwani akisema Fetty neno lake sheria aya yeye kasema ivyo ila wapiga kura wamesema Kiba simply hata watu wasemeje jamaa kakamata zake 5 na tusubiri next time tena hao watu wa media hasa clouds wana-engineer aya mambo kwa faida zao.
Ha ha ha mbona unanisemea wingi kama vile mie mjamzito nipo mwenyewe hapa mi kama mi hao wengine sijui kina naniSiyo kosa lako mnaoweweseka mko wengi, sikushangahi
Ha ha ha mbona unanisemea wingi kama vile mie mjamzito nipo mwenyewe hapa mi kama mi hao wengine sijui kina nani
ooh mama !!
hahahaaa nimecheeeeeka. Not rait jameni!
Ama nini? Ni mwendo wa kuwachapa tu.
Tena ngoja nikavote mie siku isijekuisha hivihivi..
Asubihi nilipiga kwenye vipengele viwili tu ngoja nikamalizie kimoja.
Kunywa na wewe pia dear...
Sio mchezo!
Wengine wanamtafutaa heheeee kama dawaa
Ok ok ngoja nkuambie tu kiufupi, kuna post from insta kuwa watu hawafanyi uzalendo sababu dai sio mzalendo ana miliki mganda, nkauliza nilidhani kuna sababu ya kumchukia kama vile mziki sio mzuri, mavazi n.k n.k kumbe ni sababu za kimapenzi......nawe ndo umeibukia hapo haya nioneshe hilo povu liko api hapo ili niloeke na nguo kabisaNdio maana nilikwambia soma kwanza previous post zako hutaki, ungeyaona mapovu yako.
Pole sijui nikusaidiaje!
Ok ok ngoja nkuambie tu kiufupi, kuna post from insta kuwa watu hawafanyi uzalendo sababu dai sio mzalendo ana miliki mganda, nkauliza nilidhani kuna sababu ya kumchukia kama vile mziki sio mzuri, mavazi n.k n.k kumbe ni sababu za kimapenzi......nawe ndo umeibukia hapo haya nioneshe hilo povu liko api hapo ili niloeke na nguo kabisa
Wanataka miti tu hao mfyuuuuyaan nimechekaaaaaa loooooo eti kisa zarii mganda makubwa hayaa