Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Maandamano ni lele babaWanaoweza maandamano ni wavaa kobazi na vipedo. Wavaa Tai wapi na wapi na maandamano? Maandamano sio lele mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano ni lele babaWanaoweza maandamano ni wavaa kobazi na vipedo. Wavaa Tai wapi na wapi na maandamano? Maandamano sio lele mama
😂😂😂Wanaoweza maandamano ni wavaa kobazi na vipedo. Wavaa Tai wapi na wapi na maandamano? Maandamano sio lele mama
MBOWE na Tundu Lissu wameshatiwa mbaroni, huenda wakapewa kesi ya mauaji ya Mzee KibaoMbowe mbona hatumuoni? Kaingia mitini anataka kuwatoa vijana wakapigwe? Mchagga Bwuaaanah!
Hakuna wa kukupiga risasi,Niko barabarani naandamana mkiona kimya mjue nimepigwa risasi
Murilo J Murilo (SACP) ni mzuri sana kwa msimamo HAYUMBI WAKUU. CDM angalieni tv ndani
Nadhani CHADEMA ifanye maandamano kila wiki, tumechoshwa na hali ngumu ya maisha huku CCM pekee wakifaidi matunda ya nchiPolisi hebu tumieni hekima kidogo ili kuimarisha taswira nzuri ya Mama Samia Suluhu Hassan kitaifa na kimataifa.
Msitumie nguvu kuzuia maandamano, bali imarisheni ulinzi ili maandamano yafanyike kwa amani.
Dunia nzima Leo macho yako Tanzania. Hii ndio nafasi pekee ambapo Polisi wetu wanaweza kuionyesha dunia kwamba Tanzania hakika ni kisiwa cha amani na utulivu.
Wangekuwa na akili wangezuia matukio ya kihalifu yaliyosababisha maandamano. Kusingekuwa na maandamano na raia wangefanya mambo yako kwa amani na utulivu.Msitumie nguvu kuzuia maandamano, bali imarisheni ulinzi ili maandamano yafanyike kwa amani.
Hawawezi kuwapa kesi ya mauaji hata dak 1
Acha uongo mkuu unakusaidia nini?Nimekuja mpaka magomeni niwaunge mkono chadema nimekuta hakuna mtu hata mmoja ngoja niende kwenye biashara zangu msinipotezee muda.
Polisi ni F4 failureWangekuwa na akili wangezuia matukio ya kihalifu yaliyosababisha maandamano. Kusingekuwa na maandamano na raia wangefanya mambo yako kwa amani na utulivu.
Lakini kama ujuavyo, huku nguvu ni 99.9% na 0.1% ni akili.
Kiokote tu na statemade tapeli fulani huyo
Wengine hata hiyo 4 hawajafika.Polisi ni F4 failure
Kenya hakuna vyombo vya dolaIngekuwa Kenya!
90% hawajafikaWengine hata hiyo 4 hawajafika.
Kama Kenya tu maandamano ilikuwa kama sikosei Alhamis.Nadhani CHADEMA ifanye maandamano kila wiki, tumechoshwa na hali ngumu ya maisha huku CCM pekee wakifaidi matunda ya nchi