Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nahisi Tanzania hii chama cha upinzani ilikuwa ni CUF pekee na nadhani ni kwasababu asilimia kubwa walikuwa ni waislamu waislamu sio watu waoga hata kidogo lakni hawa kanyerahumo humo hamna kitu wakikumbuka kipigo kilichompata lipumba kila moja anashika mbupu zake na kutoka ndukii.
Ni kweli CUF walikuwa wanaadamana na walikuwa watanzania hawakuwa waoga, ndio maana mimi nasema tatizo sio kwamba watanzania ni waoga ila ni kukosa muamko tu.
 
Siku mbili kabla ya kufanyika maandamano ya Dibagula yaliyohusu kupinga tamko la kuwa Yesu ni Mungu,maalim Ali Basaleh alitangaza wazi kabisa mbele yetu msikitini siku ya Ijumaa kuwa angeshiriki japo polisi walikwishayapiga marufuku
Sheikh Ali Basaleh alisema yeye angekaa mbele kabisa na angevaa sanda ili akipigwa risasi basi azikwe na sanda hiyo.Na kweli siku ilipofika alivaa sanda na akakaa mbele akitoa takbir.Alipigwa lakini pamoja na kuumia hakulia.
Tukija upande wa Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Chadema yeye kasema kupitia twiter kuwa ataandamana na akatoa ramani ya maeneo maandamano yatakapoanzia na kuishia.Mwenyekiti huyo kupitia akaunti yake hiyo alisema akipigwa risasi watu wamuombee dua na wasonge mbele.
Watu wetu kwenye vituo vyote wanasema bado hawajamuona mwenyekiti wa Chadema.
Kazuiliwa kwake nyumbani na mapolisi, we uko dunia gani? Huna akili.
 
Siku mbili kabla ya kufanyika maandamano ya Dibagula yaliyohusu kupinga tamko la kuwa Yesu ni Mungu,maalim Ali Basaleh alitangaza wazi kabisa mbele yetu msikitini siku ya Ijumaa kuwa angeshiriki japo polisi walikwishayapiga marufuku
Sheikh Ali Basaleh alisema yeye angekaa mbele kabisa na angevaa sanda ili akipigwa risasi basi azikwe na sanda hiyo.Na kweli siku ilipofika alivaa sanda na akakaa mbele akitoa takbir.Alipigwa lakini pamoja na kuumia hakulia.
Tukija upande wa Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Chadema yeye kasema kupitia twiter kuwa ataandamana na akatoa ramani ya maeneo maandamano yatakapoanzia na kuishia.Mwenyekiti huyo kupitia akaunti yake hiyo alisema akipigwa risasi watu wamuombee dua na wasonge mbele.
Watu wetu kwenye vituo vyote wanasema bado hawajamuona mwenyekiti wa Chadema.
 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 1
Nilichogundua ni kwamba Watu Wengi wanaoenda Mjini ni Wapiga Dili tu

Uwepo wa polisi kila kona umewatuliza nyumbani Wapiga Dili Wote

Leo barabara ni nyeupe ingekuwa hivi kila siku Safi sana 🐼
Unawaza wapiga dili tu. Je wafanyabiashara? Wanaokwenda kuchukua bidhaa mjini?
 
Chadema walisema wamefanya maridhiano na Samia, leo Kiko wapi?
Wote hao waliungana kumtukana na kumkashifu marehemu eti alikuwa katili anauwa watu.
Ajabu leo Magufuli hayupo watu wanazidi kuuwawa na kupotea kuliko hata utawala wa mwenda zake.
Mama anaupiga mwingi!
 
Ipo hivi, CHADEMA walitangaza maandamano wakakaa kimya na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Lakini tangu siku ile ya kutangazwa maandamano Polisi wamekuwa wakizunguka huku na kule mitaa yote ya Dar es salaam na hata Mikoa mingine.
Wamebeba silaha nzito nzito, mbwa, magari ya washawasha nk. Baadhi ya polisi yawezekana wametoka mikoa mingine.
Ebu tujiulize kidogo;
*Katika mkasa huu, nani mwoga zaidi?
*Nani ametumia gharama kubwa zaidi?
*Nani amedharaulika zaidi?
*Kimataifa nani amajijenga zaidi na nani amedharaulika zaidi?
*Kwa tathmini ya haraka, CHADEMA wana akili zaidi na wamejijenga zaidi kuliko watesi wao.
 
Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.

======

Siku ya waliyosema chadema kufanya maanadamano kwaajili ya kupinga utekaji na watu kuuliwa na watu wasiyojulikana imefika,

Tangazo hili lilitolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Septemba 11, 2024, ambapo alisema wataingia barabarani endapo wanachama wao waliopotea hawatarudisha na kama serikali haitawajibika ikiwa ni pamoja na kujiuzulu kwa viongozi husika.

Ratiba ya maandamano ilitolewa Jumamosi tar 21 Septemba 2024 baada ya kuwa serikali haijatekeleza takwa lolote kati ya yale yaliyotolewa na CHADEMA kuhakikisha kuna uwajibikaji.

Fuatilia uzi huu kwa matukio ya moja kwa moja kwa siku ya leo na yatakayojiri kwenye maandamano hayo.


=======UPDATES======
View attachment 3103938
Magomeni muda huu. Naelekea katikati ya mji nifike Mnazi Mmoja

Asubuhi imeanza kwa taarifa ya Lissu kuzingirwa na polisi na kutakiwa kwenda kuripoti katika ofisi ya RCO Kinondoni, ambapo amekubali kwenda kuitikia wito.


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameeleza kupitia mitandao ya kijamii kuwa tangu jana usiku mpaka asubuhi ya leo Septemba 23, 2024 Jeshi la Polisi limefunga barabara zote zinazoelelea nyumbani kwa mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe.

Chama hicho kimeeleza kuwa watumiaji wote wa barabara hiyo wanasimamishwa na kukaguliwa, wakiulizwa kama wanaenda kwenye maandamano.

CHADEMA wameripoti kuwa mapema leo Jeshi la Polisi wameingia nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara kisha kuondoka nae bila kusema wanampeleka wapi.

 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 3
Sogea sogea hadi lumumba hapa utaniona.
naona mtu mwenye kapelo nyeusi kavaa jezi ya Man U, bilashaka ndio wewe gentleman , nakuja hapo hapo hapo kukujoin tuone uelekeo wa pamoja,
au walitangaza kuandamana n moja moja kila mtu kivyake na sio matita matita au makundi makundi?🐒
 
Back
Top Bottom