Sana, mno, kabisa.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Dah! Akili ya mtu mjinga kama wewe unaweza kuandamana kweli?Hiyo ndinga anayotembelea mke wa Mbowe hao askari waliomkamata mpaka wanastaafu hadi vijukuu vyao hawaji kumiliki, wakitoka hapo wanaenda kwenye vikota vyao vya bati kujifungia π
Ghafla imegeuka ikulu safi apewe ulinzi mwenyekiti!Hii ndio taarifa iliyokoko Global Tv kwamba Mwenyekiti wa Chadema yuko nyumbani kwake na nje kuna Walinzi wa Amani
Ahsanteni sana
π€£hii imenivunja mbavu π€£π€£
aisee wacha niendelee kucheza na maiti za waarabu. tz nitarudi nguvu imeisha uzeeni.
Watu wanatoa visingizio tuππππ
Hata Chadema ni waoga sana ndio maana HAWAWEZI kuandamana Leo.Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm. Au wangekaza/wangekataa kukubali maagizo toka juu.
Bado hakijatokea kizazi ambacho kipo tayari kupigwa, kufungwa, kufa juu ya masuala ya kisiasa.
Hakuna vijana wa kufatilia au kutaka kuhusika na masuala ya aina hiyo.
Vijana wako bize na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume, mapenzi, kukata mauno, matamasha, tamthilia na misambwanda
Narudia tena
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Tupo jangwani tunajipanga upyaTuje akati hatuwaoni π€£
mkutane na mafurikoTupo jangwani tunajipanga upya
Hakuna cha chadema wala nini, hali ngumu mtaani inatutesa watanzania wote.Hata Chadema ni waoga sana ndio maana HAWAWEZI kuandamana Leo.
Mbona mwenyewe kashasema wamemueleza wanampeleka wapi.Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.
======
Siku ya waliyosema chadema kufanya maanadamano kwaajili ya kupinga utekaji na watu kuuliwa na watu wasiyojulikana imefika,
Tangazo hili lilitolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Septemba 11, 2024, ambapo alisema wataingia barabarani endapo wanachama wao waliopotea hawatarudisha na kama serikali haitawajibika ikiwa ni pamoja na kujiuzulu kwa viongozi husika.
Ratiba ya maandamano ilitolewa Jumamosi tar 21 Septemba 2024 baada ya kuwa serikali haijatekeleza takwa lolote kati ya yale yaliyotolewa na CHADEMA kuhakikisha kuna uwajibikaji.
Fuatilia uzi huu kwa matukio ya moja kwa moja kwa siku ya leo na yatakayojiri kwenye maandamano hayo.
=======UPDATES======
View attachment 3103938
Magomeni muda huu. Naelekea katikati ya mji nifike Mnazi Mmoja
Asubuhi imeanza kwa taarifa ya Lissu kuzingirwa na polisi na kutakiwa kwenda kuripoti katika ofisi ya RCO Kinondoni, ambapo amekubali kwenda kuitikia wito.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameeleza kupitia mitandao ya kijamii kuwa tangu jana usiku mpaka asubuhi ya leo Septemba 23, 2024 Jeshi la Polisi limefunga barabara zote zinazoelelea nyumbani kwa mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe.
Chama hicho kimeeleza kuwa watumiaji wote wa barabara hiyo wanasimamishwa na kukaguliwa, wakiulizwa kama wanaenda kwenye maandamano.
CHADEMA wameripoti kuwa mapema leo Jeshi la Polisi wameingia nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara kisha kuondoka nae bila kusema wanampeleka wapi.
CHADEMA imeripoti kuwa Jeshi la Polisi limemzuia Dr. Lilian Mtei, Mke wa Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe akiwa anatoka nyumbani kwake Mikocheni, Dar es salaam.
Waliotangaza maandamano wamekimbia ππGharama iliyotumika kuwaleta polisi Dar ni kubwa sana,wakati maandamano hamna
Jina lako tu linasadifu huna uwezo wa kujadili na mimi,kamalizie shuleDah! Akili ya mtu mjinga kama wewe unaweza kuandamana kweli?
Gharama zipi? ...gharama za polisi ni kodi zetu wananchiIpo hivi, CHADEMA walitangaza maandamano wakakaa kimya na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Lakini tangu siku ile ya kutangazwa maandamano Polisi wamekuwa wakizunguka huku na kule mitaa yote ya Dar es salaam na hata Mikoa mingine.
Wamebeba silaha nzito nzito, mbwa, magari ya washawasha nk. Baadhi ya polisi yawezekana wametoka mikoa mingine.
Ebu tujiulize kidogo;
*Katika mkasa huu, nani mwoga zaidi?
*Nani ametumia gharama kubwa zaidi?
*Nani amedharaulika zaidi?
*Kimataifa nani amajijenga zaidi na nani amedharaulika zaidi?
*Kwa tathmini ya haraka, CHADEMA wana akili zaidi na wamejijenga zaidi kuliko watesi wao.
Polisi wanasaidia kuandamana mikoa yote na hasa Dar huku wamebeba mizigo mizito huku wamevaa mavazi yanayolowesha pumbu kwa jasho! Nashauri chadema watangaze kuendelea na maandamano Dar kwa siku 30 na baadaye watangaze kuhamia Mwanza. Arusha, Mbeya. Yaendelee kucheza shere! hayo mabumundaKwani lengo la Chadema kutangaza maandamano ilikuwa ni Polisi kukusanyika Dar? Chadema walisema ije mvua, lije jua wataandama. Sasa sababu za eti Polisi wamekusanyika zinatoka wapi?