Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wataalamu,
Nikishasema na nitarudia tena ,hawa jamaa huwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii kueneza chuki na siasa ambazo hazina kichwa wala miguu.

Wanapokuwa kwenye mitandao huwa wanajiamisha kuwa wanakubalika kwenye mioyo ya Watanzania kumbe sio kweli hata kidogo.

Kitendo cha hawa makamanda uchwa kushindwa kuendeleza mapambono yako ya kwenye mitandao na kuungana na wapuuzi wenzao kwenye maandamano uchwara ni ushahid tosha kuwa hiki chama ni famba (paper tiger).

Ni wakati muafaka kwa wale angalau wanayo akili ya darasani ambao wanahesabika (wasomi ) kama mzee Lissu kuangalia uhalisia wa hiki chama.
 
Hata Chadema ni waoga sana ndio maana HAWAWEZI kuandamana Leo.
 
Mbona mwenyewe kashasema wamemueleza wanampeleka wapi.
 
Gharama zipi? ...gharama za polisi ni kodi zetu wananchi
 
Kwani lengo la Chadema kutangaza maandamano ilikuwa ni Polisi kukusanyika Dar? Chadema walisema ije mvua, lije jua wataandama. Sasa sababu za eti Polisi wamekusanyika zinatoka wapi?
Polisi wanasaidia kuandamana mikoa yote na hasa Dar huku wamebeba mizigo mizito huku wamevaa mavazi yanayolowesha pumbu kwa jasho! Nashauri chadema watangaze kuendelea na maandamano Dar kwa siku 30 na baadaye watangaze kuhamia Mwanza. Arusha, Mbeya. Yaendelee kucheza shere! hayo mabumunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…