Wataalamu,
Nikishasema na nitarudia tena ,hawa jamaa huwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii kueneza chuki na siasa ambazo hazina kichwa wala miguu.
Wanapokuwa kwenye mitandao huwa wanajiamisha kuwa wanakubalika kwenye mioyo ya Watanzania kumbe sio kweli hata kidogo.
Kitendo cha hawa makamanda uchwa kushindwa kuendeleza mapambono yako ya kwenye mitandao na kuungana na wapuuzi wenzao kwenye maandamano uchwara ni ushahid tosha kuwa hiki chama ni famba (paper tiger).
Ni wakati muafaka kwa wale angalau wanayo akili ya darasani ambao wanahesabika (wasomi ) kama mzee Lissu kuangalia uhalisia wa hiki chama.
Nikishasema na nitarudia tena ,hawa jamaa huwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii kueneza chuki na siasa ambazo hazina kichwa wala miguu.
Wanapokuwa kwenye mitandao huwa wanajiamisha kuwa wanakubalika kwenye mioyo ya Watanzania kumbe sio kweli hata kidogo.
Kitendo cha hawa makamanda uchwa kushindwa kuendeleza mapambono yako ya kwenye mitandao na kuungana na wapuuzi wenzao kwenye maandamano uchwara ni ushahid tosha kuwa hiki chama ni famba (paper tiger).
Ni wakati muafaka kwa wale angalau wanayo akili ya darasani ambao wanahesabika (wasomi ) kama mzee Lissu kuangalia uhalisia wa hiki chama.