Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kufanikiwa kwa vurugu ni mtaji wa pesa ndefu wa Mbowe na wenzake kutoka kwa taasisi za kidemokrasia za Ulaya na Marekani.

Watoto wa masikini wa nchi hii wanageuzwa mitaji na wafanyabiashara hawa wenye roho zilizojaa ukatili na ubinafsi.

Hawa ni wa kusikilizwa na kupuuzwa. Kifo cha Marehemu Kibao kisiwe ndio sababu ya watu kuacha kuzalisha mali na kufikira kufaidika na fursa za kiuchumi na kwenda kuvunjwa miguu na hao FFU.
 
Nini husumbuwa makonda,maana ana kihere here,kila kitu anataka kutia pua.
 
Hakuna cha chadema wala nini, hali ngumu mtaani inatutesa watanzania wote.


Tuseme ukweli tu 🀣
Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
Tukiandama hiyo hali ngumu inaisha? Nnihakikishie hilo niingie mtaani!!!

Ila unipe picha yako ili maisha yakiendelea kuwa magumu nisipate shida ya kukutafuta!! Ahahahahaha!!!
 
M
🀣🀣🀣🀣🀣
Hakuna cha kuupiga mwingi wala nini!

Tuseme ukweli tu 🀣

Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
Mimi sio muoga.
Ila Mbowe na Lissu hawawezi kunifanya niwe serious.
Kulia mzee wa Gia ya Angani.
Kushoto mzee wa MIGA.
🀣🀣 Hawapo serious kabisa na maslahi ya watanzania hawa wazee wa drama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…