Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
Pamoja na hayo, kuna nchi wananchi wanalindwa waandamane kwa amani. Jana ulisikia Muliro kasemaje, na wewe uingir barabarani unajua kitakukuta nini?
Nani yupo tayari kupokea kipigo cha mbwa Koko, kufungwa, kuvunjwa, kufa?

Acha blah blah blah, tuseme ukweli tu kuwa sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣



Mimi ni Muoga sana, wewe je?
 
Mtanzania anataka kula bata, hayupo tayari kujitoa mhanga haswa akijua kuwa anatumika tu kama 'mtaji' wa wanasiasa wabinafsi.
 
Ahahahahaha! Kama wewe ni mmoja wa waandamanaji basi naionea huruma sana Chadema!
 
Nimecheka kwa nguvu, hapo ndio Makonda anaona amecheza bonge la mindgame🤣 Kuna watu bado wanamuamini Makonda na jeshi la polisi wakitoa taarifa? Kama rais anasema ana bonge la intelijensia kisha anarmtoa ushahidi wa clip ya Slaa ya miaka kibao iliyoko mitandaoni, hapo bado mtapata wa kuamini huo utoto wa Makonda?
 
🤣
Acha usanii, hakuna mtu anayemkubali hata wewe kimoyomoyo haumkubali. Ila kwakuwa unafukuzia fursa au uteuzi ndio maana unasifiasifia. Na uoga pro max ulionao ndio maana unasifiasifia mno


Ila tuseme ukweli tu, sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣




Mimi ni Muoga sana, wewe je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…