Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Maandamano yao yanaanzia facebook yanaishia Jamiiforum. Wanadhani watu wajinga milele yote.Acha blaablaa zako na porojo.si ulisema utaandamana? Kwanini hujapeleka pua lako kwenda kuandamana barabarani ππ
Kumbe wameandamana, wenzako wanasema hakukuwa na waamdamanaji!Leo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.
KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA
Acha huu utoto dogo, kila uzi unapost huu ujinga!Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
Hivi mkiwa mbogamboga akili huwa zinajaa fungus eti eh! Badala ya kujisitia kwa kuwa na nchi ya hovyo unabwabwaja kama ngedere mwenye mimba ya nyani!!Huku ni kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Hiki kilichotokea leo Dunia nzima ilijua kitatokea, unext level wa CHADEMA unatokea wapi?
Watanzania kuogopa kuandamana baada ya kuwaona POLISI wametanda barabarani ni suala la kuisifia CHADEMA?
Hili ni suala la kuisikitikia CHADEMA, nguvu yao ya ushawishi haijai hata kwenye kisoda.
Mbowe anakula kilainiiiiii, wajinga ndio waliwaooo, siasa nayo ni kazi pia kama kazi zingineLeo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.
KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA
Yes love β€οΈDaddy....
Chadema wakiitisha maandamano walio wa Chadema wataitika, ila kwa case ya leo ushiriki wa polisi kutoka kila pande ya nchi hii kutaka kuja kutupiga na kutuumiza imekuwa ni blessing in disguise kwetu.πππ
Kwahiyo mlitaka kutuponza Watanzania, lengo lenu lilikuwa kutukutanisha na POLISI barabarani?
Kwahiyo siku nyingine tukisikia CHADEMA wamehitisha maandamano Watanzania tupuuzie, sio?
Maana lengo lenu sio raia wa kawaida waandamane, mnataka POLISI waandamane. Si ndio?
Hahahahaah wanaangalia pesa bwasheeHasa wachaga,yaani hapo ni biashara tu
Wewe ni mjinga! Huwezi panga maandamano au mapinduzi halafu ukalala kwako!hakuna mtu muoga kama mbowe ila mjanja sana anawatanguliza nyumbu wasio na akili waende barabarani yeye hata kulala kwake kaogoma mhuni sana mbowe
Vp nyie mashoga ndio mnaweza hizo kazi au siyoWanawake hamuwezi huu mtiti.
Nakuruhusu uiboreshe na kuiweka vizuri iwe uzi wa peke yake mkuu.Mkuu, hii post imeshiba, ilitakiwa iwe UZi wa peke yake