Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe wameandamana, wenzako wanasema hakukuwa na waamdamanaji!
 
Acha huu utoto dogo, kila uzi unapost huu ujinga!
 
Hivi mkiwa mbogamboga akili huwa zinajaa fungus eti eh! Badala ya kujisitia kwa kuwa na nchi ya hovyo unabwabwaja kama ngedere mwenye mimba ya nyani!!
 
Haya yatakuwa maandamano endelevu....
Kila wiki..Siku Kama ya leo..Viva Tanganyika
 
Mbowe anakula kilainiiiiii, wajinga ndio waliwaooo, siasa nayo ni kazi pia kama kazi zingine
 
Chadema wakiitisha maandamano walio wa Chadema wataitika, ila kwa case ya leo ushiriki wa polisi kutoka kila pande ya nchi hii kutaka kuja kutupiga na kutuumiza imekuwa ni blessing in disguise kwetu.
 
hakuna mtu muoga kama mbowe ila mjanja sana anawatanguliza nyumbu wasio na akili waende barabarani yeye hata kulala kwake kaogoma mhuni sana mbowe
Wewe ni mjinga! Huwezi panga maandamano au mapinduzi halafu ukalala kwako!
Hata Hayati Karume usiku wa Mapinduzi hakulala kwake,
Mbowe amewazidi maarifa Polisi kwani ameweza kufika eneo la tukio na tayari amefikisha ujumbe wake kwa Dunia!
Ameonyesha hawakuwa na ajenda mbaya dhidi ya Serikali , maana amesisitiza maandamano yao ni ya amani kumpinga utekaji, mauaji na uminyaji wa demokrasia.
Serikali ya Rais Samia ndiyo inadhalilishwa machoni pa Dunia kwa kukosa uvumilivu na matumizi ya nguvu kupita kiasi.
 
Yani hata wale wafanyakazi wa makao makuu ya chadema pia wamemsaliti mwenyekiti wao maana yupo peke yake
Kelele tu kwenye mutandao ikifikia siku ya maandamano aaaah wapo wavuvi camp wanatoa hangover
Watanzania kitu wanachoweza umbea ,fitina na majungu ila vitendo sifuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…