Leo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.
KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA