Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
20240923_083754.jpg

" Leo lazima damu imwagike tumechoka na utawala wa mkoloni mweusi samia must go"
 
Hapana mkuu ukweli ni kwamba maandamano huchukuliwa ni kama vurugu kwa watanzania waliyo wengi huona hivyo, hasa wanapoona na polisi wametanda ndipo watu wanapoamua kukaa nyumbani kukwepa hizo vurugu. Hivyo hiyo tunayoita mikwara ya polisi inafanya kazi.
 
Kwa nchi ambayo maandamano ya amani tu unakutana na kundi la askari na defender yao na mitutu ya bunduki, imagine hayo ni maandamano ya amani tu lakini polisi wamejitanda njiani kama siafu, ni ngumu kwa mwananchi asiye na silaha kujitokeza kuandamana.
Kenya maaskari walikuwepo, watu sio waoga na watu waliandamama

Huko Nchi za afrika kaskazini kwa waarabu maaskari walikuwepo (arab spring) na watu waliandamana mpaka viongozi walitoka madarakani.


Sri Lanka maaskari walikuwepo, watu waliandamana mpaka viongozi walitoka madarakani


Bangladesh maaskari walikuwepo, watu waliandamana mpaka viongozi walitoka madarakani.


Maaskari kuwepo Tanzania sio changamoto.


Narudia tena
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
 
Uki
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.

Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm. Au wangekaza/wangekataa kukubali maagizo toka juu.

Bado hakijatokea kizazi ambacho kipo tayari kupigwa, kufungwa, kufa juu ya masuala ya kisiasa.



Hakuna vijana wa kufatilia au kutaka kuhusika na masuala ya aina hiyo.
Vijana wako bize na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume, mapenzi, kukata mauno, matamasha, tamthilia na misambwanda


Narudia tena



Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Ukifika wakati sahihi watu wataandamana tu, nakuhakikishia maandamano yatakuwa makubwa na yenye mafanikio kuliko unavyodhani.

Ni ngumu chama cha siasa kuanzisha maandamano na yakafanikiwa.
Wanasiasa hawajawahi kuwa upande wa wananchi, hawaaminiki
 
Uki

Ukifika wakati sahihi watu wataandamana tu, nakuhakikishia maandamano yatakuwa makubwa na yenye mafanikio kuliko unavyodhani.

Ni ngumu chama cha siasa kuanzisha maandamano na yakafanikiwa.
Wanasiasa hawajawahi kuwa upande wa wananchi, hawaaminiki
Huo wakati labda kije kizazi cha 2010 au 2020.

Au ccm wawe na mgogoro na vyombo vya ulinzi na usalama, labda maaskari waitoa ccm systematically au wawapindue.



Hiki kizazi ni kioga, hata mimi ni muoga 🤣
 
Back
Top Bottom