Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wananchi tukiendekeza hisia mbele kuliko logic wanasiasa watatuingiza matatizoni miaka michache ijayo mbeleni.

Katiba mpya maandamano.
tume huru ya uchaguzi maandamano.
Kodi kubwa na ushuru mkubwa maandamano.
Kutekwa kwa watu maandamano.
Everything kwenye hii nchi kinashinikizwa kitafutiwe suluhu kwa maandamano why maandamano?
Tujifunze kwa kupitia mifano ya nchi jirani zinazopitia hali ngumu kisa maandamano na jinsi yanavyoathiri amani na uchumi wa nchi zao.

Sidhani kama tumekosa haki ya kuhoji na kutatuliwa shida zetu kiasi cha kutufanya tuingie kwenye maandamano ya namna hii, ingali changamoto zipo kweli katika mfumo wa utawala hapa nchini.
Acha uoga mama
 
Sasa nyie wanachadema mmemsaliti mwenyekiti inakuwaje kajikuta peke yake magomeni mlitakiwa muwe pale siyo humu jf mnatukana watu kama kawaida yenu ila maandamano aaah, ukiwaza kidimbwi eti ukakae selo unaghairi
😂😂😂
 
Wamezingira nyumba akitoka tu wamkamate.Baadae intelijensia ikawaambia amesafiri jana kwenda Arusha. Wakawa na uhakika 100% tayari amewasili Arusha. Wakapata na ujasiri wa kutangaza kwamba amejifungia kwenye ofisi ya chama Arusha.Wanakuja kushangaa mwamba kaibuka Magomeni
😅
😅
 
Wananchi tukiendekeza hisia mbele kuliko logic wanasiasa watatuingiza matatizoni miaka michache ijayo mbeleni.

Katiba mpya maandamano.
tume huru ya uchaguzi maandamano.
Kodi kubwa na ushuru mkubwa maandamano.
Kutekwa kwa watu maandamano.
Everything kwenye hii nchi kinashinikizwa kitafutiwe suluhu kwa maandamano why maandamano?
Tujifunze kwa kupitia mifano ya nchi jirani zinazopitia hali ngumu kisa maandamano na jinsi yanavyoathiri amani na uchumi wa nchi zao.

Sidhani kama tumekosa haki ya kuhoji na kutatuliwa shida zetu kiasi cha kutufanya tuingie kwenye maandamano ya namna hii, ingali changamoto zipo kweli katika mfumo wa utawala hapa nchini.
Akili yako mbovu sana!
 
Toa njia mbadala namna tunavyoweza kutatua hayo matatizo na changamoto zilizopo kwenye mfumo huu wa utawala tulionao.
Great question. Very intelligent, hili ndiyo swala la kufikiria kama watu wenye ubongo mzuri.

Maandamano yaliyopo nchini kwetu kimsingi si kwaajili ya wananchi wote ni kwaajili ya vyama vya kisiasa that’s why yako organised chini ya viongozi wa kisiasa kina Mbowe, Lisu na Lema.
Na ndiyo maana hayafanikiwi kila wakati maana yanaonekana yamekaa kisiasa kuliko kukaa kitaifa.
Kwanini kusiwe na maandamano yanayoanzishwa na wananchi wenyewe kwa kupitia mashirika ya umma au mashirika binafsi au makundi ya wananchi wenyewe kwanini tunafungamana na vyama vya siasa?
 
Back
Top Bottom