Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Ingawa wanawakilisha nchi ila kule Z wakijitahidi ni droo au kupoteza
 
Sare ya kutofungana kwa simba ni mbaya zaid,maana wanaweza kuja hapa mkatoka moja moja ikala kwetu
 
Namkumbuka sana Kapombe,zile kross zake daaah
 
UZALENDO MWISHO UGANDA HUKO KWINGINE KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE. ALL THE BEST TO MTIBWA SUGAR!!
 
Lzma uyo nkana akae2 kwa kifo cha 2 kwa 1, kila la kheri wekundu wa Terminal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…