Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021

Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Ume jitutumua kufanya uchambuzi ila umeshidwa ku dhibitisha hoja zako kabisa kwa kuleta rejea ya maamuzi, wewe uko hapa kusawazisha public opinion unatetea kitu ambacho kina onekana kwamba hamna fairness katika hi kesi, Jaji kashindwa kuicheza vizri ndo shida kuazia zile pingamizi za mwanzo za upande wa utetezi.......
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Kwa maoni yangu jamhuri ilifanya timing ya kumakata mboye yenye mashaka sana: na ndiyo maana 90/100 ya watanzania wanaamini hicho wanachoamini.Fanya survey utaona mwenyewe
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Wewe utopolo ni nani hapo ameweka pingamizi? Ni mawakili wa Mbowe? Mida ya kuumbuliwa sasa imefika, inakuaje huyo Msemwa awe Oysterbay halaf wakati huohuo awe yupo central police? Sijui hata unaelewa nini kinaendelea...🚮🚮🚮
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Wenzako wanaweka ubongo kichwani Wewe unaweka kinyesi??!
 
Naomba unisaidie kuona ushahidi wowote au kielelezo chochote kinachoonyesha 'kula njama kutenda vitendo vya kigaidi'. Najaribu kutafuta kila siku sijafanikiwa. Labda ni mimi sielewi.
Yaani upande wa Jamhuri mi wajinga sana... wamefunga ushahidi bila kuonyesha pasipo mashaka yoyote kuwa "kulikuwa na njama ya kupanga matukio ya ugaidi", nilitegemea kuona Jamhuri wanamleta huyo "msiri" wa serikali aliewatonya kuwa kuna njama za kufanya matukio ya ugaidi ambae ni Urio, au walete mawasiliano ya simu kati ya Mbowe na Urio wakiongelea awatafutie watu wa kufanya matukio, au rekodi ya siri ya mazungumzo kati ya Mbowe na hao makomandoo wakipanga namna watakavyofanikisha mashambulizi... kinachoendelea ni ujinga mtupu... nonsense! Kwanza I wonder wanapoteza muda kwanini!
 
Kwako wewe haki ni kina Mbowe kushinda!!

Ushahidi wa upande wa mashitaka ni wa wazi sana. Mawakili wa utetezi wamepwaya sana. Hivyo tuiache mahakama itende haki.
Waonyeshe hayo mabomu na vilipuzi vya kufanyia ugaidi. Mtashinda lakini si kwa haki
 
Kiongozi, mbona mimi sioni hivyo? Mimi focus yangu ni 'kula njama kutenda vitendo vya kigaidi' na hadi leo hii nimeshindwa kuona hivyo au sifuatilii vizuri kesi yenyewe ingawa kila siku jioni natumia kama nusu saa kusoma kilichoandikwa kuhusu mwenendo wa kesi kwa siku husika?
Mandela alipokamatwa ilijulikana kabisa kuwa atahukumiwa kifo au atapigwa mvua. Na ilikuwa hivyo. Lakini hotuba yake wakati wa hukumu ilichangia sana kufungua macho ya wazungu kuhusu ukatili wa makaburu. Wananchi wengi waliowahi kupita mikononi mwa polisi wetu au wenye ndugu ambao walipita humo humo wanaamini kabisa wakina Adamoo waliteswa hata kama Jaji atasema kuwa hamna ushahidi.

Vile vile wengi tu wamewatafuta ndugu zao vituoni wakawakosa halafu baadae wakaibuka kutokea huko huko polisi, hawa nao watawaamini wakina Adamoo kuwa hawajawahi kwenda Central kuliko wakina Msemwa. Jamii haihitaji uamuzi wa Jaji kujua kuwa kuna askari watesaji na kuwa mahabusu yanaficha watu.

Hata hii ya kukataa hivyo vitabu visitumike kama ushahidi hata kama unafuata sheria, wananchi watanusa harufu ya kutaka kuficha ukweli.

Amandla....
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu

Kila rais wewe kwako hafai na Dikteta huna lolote.
Kuna mahali nimeongelea rais hapo, au unanilisha matamanio yako? Mama wa kambo sio dictator na sijawahi kusema hivyo, bali yeye anaiga tembo kunya. Kama unataka kumtetea dhalimu, sio kwa sababu za kunichomekea.
 
wameshindwa mbowe akiwa nje watawezaje akiwa jela? watu ni wanafiki. Hii inaonyesha kuwa wapinzani hawana watu, wanawatumia watu kwa manufaa yao tu ya kupatia ubunge na ruzuku. kama wangekuwa na watu basi pangechimbika. Zuma ana watu, alipokamatwa watu wake walijitokeza.
Bandu bandu humaliza gogo. Unadhani Mandela alipotiwa ndani watu waliandamana? Unadhani Bashir alifunga wangapi mpaka watu wakaamua kuingia mtaani?
Mbona chama chako nacho kinawatumia ili wapate wabunge na ruzuku. Pamoja na utajiri wote mliokuwa nao sijawahi kusikia mkikataa ruzuku. Ila wengine wakifanya hivyo mnaona nongwa.

Amandla...
 
Bandu bandu humaliza gogo. Unadhani Mandela alipotiwa ndani watu waliandamana? Unadhani Bashir alifunga wangapi mpaka watu wakaamua kuingia mtaani?
Mbona chama chako nacho kinawatumia ili wapate wabunge na ruzuku. Pamoja na utajiri wote mliokuwa nao sijawahi kusikia mkikataa ruzuku. Ila wengine wakifanya hivyo mnaona nongwa.

Amandla...
Umenena!
 
Yaani upande wa Jamhuri mi wajinga sana... wamefunga ushahidi bila kuonyesha pasipo mashaka yoyote kuwa "kulikuwa na njama ya kupanga matukio ya ugaidi", nilitegemea kuona Jamhuri wanamleta huyo "msiri" wa serikali aliewatonya kuwa kuna njama za kufanya matukio ya ugaidi ambae ni Urio, au walete mawasiliano ya simu kati ya Mbowe na Urio wakiongelea awatafutie watu wa kufanya matukio, au rekodi ya siri ya mazungumzo kati ya Mbowe na hao makomandoo wakipanga namna watakavyofanikisha mashambulizi... kinachoendelea ni ujinga mtupu... nonsense! Kwanza I wonder wanapoteza muda kwanini!
Kesi yenyewe ya ugaidi haijaanza hi ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa, ila ina uhusiano mkubwa na kesi kubwa, hi kesi ndogo wakiipoteza ile kesi kubwa inakosa ushahidi, ndo maana nguvu zote zimetolewa katika hi trial.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Pole kwa kushabikia uongo. Mbowe siyo gaidi.
 
Mawakili wa mbowe wanachelewesha tu kesi,mara diary mara GPO badala ya kujikita kwenye kupangua kesi
Yaani kuna siku alikua anapinga maelezo ya askari kwamba wakati wa tukio alikua Arusha kikazi na sasa yupo oysterbay,
Kibatala hajui kwamba askari anaweza kuwa yupo mbinga lakini anafanya upelelezi chake chake?
No wonder Magu alisemaga aliongea na Dr. Kigoda akiwa mahututi ICU.

CCM Ni noma.
 
Hayo magaidi hayafungwi au kunyongwa mbona yanacheleweshwa tu
 
Back
Top Bottom