impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Farasinikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Farasinikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Nimekuelewa sana,namin asilimia kubwa ya wana wa Dunia hii tunaamin mbowe sio Gaidi,ila huyu chifu Hangaya anataka kuiaminisha dunia yakuwa,Mbowe ni gaidi,hizi mahakama zifuata tu atakacho HangayaSiasa za visasi nchi hii vilianza rasmi 2016 wakati wa kumtafuta mrithi wa JK, Vita ikawa kubwa ndani ya CCM, uadui ukawa mkubwa kati ya kambi na kambi. Baada ya CCM kumpa urais waliyempa hali ikawa ni mbaya zaidi, uhasama ukahama toka makundi ya CCM na kurudi kwa raia wote - aliyempiga rais hata kwa mambo ya msingi alikipata anashostahili, vyama vya siasa navyo nikazuiwa kufanya siasa nchini hadi leo wanafanya katika mazingira magumu mno.
Hadi leo kinachoendelea kwa Mh. Mbowe ni mwendelezo wa siasa za chuki na kukomoana. Sina uhakika kama nchi yetu itarudi kwenye upendo na kuheshimiana uliokuwapo tangu enzi zile za mwalimu mpaka hadi 2015 upendo ulipokoma rasmi.
Kimsingi sio huyo jaji tu. Sehemu kubwa wafanyakazi/watumishi wa serikali ni watu wenye uwezo mdogo. Huyo jaji ni wazi ana uwezo mdogo, hivyo anafanya kinachoifurahisha serikali ili kuficha uwezo wake mdogo. Kwa mazingira yetu hata ukifanya kazi chini ya kiwango, ili mradi unawabeba watawala, madhaifu yako yatafumbiwa macho.Sasa naamini Jaji anamapungufu mengi katika kuweza kuamua yaliyo wazi. Siamini kama ni Jaji wa mahakama kuu huyu.
Atakuwa anamaanisha kale kakibanda ka pale mtaa wa ufipa. Kwake hapo ndiyo dunia ilipo. Mambo ya sayari kama ya Earth (Dunia), Mars, Jupiter, Pluto etc atayajulia wapi.Dunia ipi wewe kunguru..
Yaani dunia imfuatilie mmiliki wa chadema baada yakufuata mambo yao
tunataka vitu kama hivi jukwani, siyo takataka zisizo na uelimishaji wowote.Akidi yetu nayo inaingia kijiditali kufuatilia mwenendo wa kesi ndogo (Trial within a trial).
N.B
The concept of trial within a trial :
https://www.academia.edu › THE_C...
the concept of trial within trial - Academia.edu
4.2. In order to establish the allegation of involuntariness of a confession, the main trial is...
View attachment 2005451
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Eti mbowe ni gaidi aisee dunia hii ina mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe huyu huyu !!!!!!!
Kwani magaidi yanafananaje mkuu?HIVI KWELI MBOWE NI GAIDI???MBONA HAFANANI KABISA NA HAO MAGAIDI??
Kama yeye mbowe alivyolipiza kisasi kwa Sabaya kwa kumtumia mkwe wake KwekaSiasa za visasi nchi hii vilianza rasmi 2016 wakati wa kumtafuta mrithi wa JK, Vita ikawa kubwa ndani ya CCM, uadui ukawa mkubwa kati ya kambi na kambi. Baada ya CCM kumpa urais waliyempa hali ikawa ni mbaya zaidi, uhasama ukahama toka makundi ya CCM na kurudi kwa raia wote - aliyempiga rais hata kwa mambo ya msingi alikipata anashostahili, vyama vya siasa navyo nikazuiwa kufanya siasa nchini hadi leo wanafanya katika mazingira magumu mno.
Hadi leo kinachoendelea kwa Mh. Mbowe ni mwendelezo wa siasa za chuki na kukomoana. Sina uhakika kama nchi yetu itarudi kwenye upendo na kuheshimiana uliokuwapo tangu enzi zile za mwalimu mpaka hadi 2015 upendo ulipokoma rasmi.
Duh hakuna update zozote kama siku za nyuma
Mbona unakurupuka na mavi kwenye makalio yako.nikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Erythrocyte , mwambie Lisu afanye kazi ya kuitangaza hii kesi kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi dunia nzima. Mfano, Hangaya akitoka Msisri, ujumbe wa CDM uende huko huko kumnanga kuwa huyu si mtu when it comes to democracy! and the likeDunia nzima inafahamu kwamba Mbowe siyo Gaidi na inafahamu pia kwamba hizi ni njama za kishamba za serikali ya Tanzania kuogopa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi