Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi

Eti mbowe ni gaidi aisee dunia hii ina mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe huyu huyu !!!!!!!
 
Nimekuelewa sana,namin asilimia kubwa ya wana wa Dunia hii tunaamin mbowe sio Gaidi,ila huyu chifu Hangaya anataka kuiaminisha dunia yakuwa,Mbowe ni gaidi,hizi mahakama zifuata tu atakacho Hangaya
 
Sasa naamini Jaji anamapungufu mengi katika kuweza kuamua yaliyo wazi. Siamini kama ni Jaji wa mahakama kuu huyu.
Kimsingi sio huyo jaji tu. Sehemu kubwa wafanyakazi/watumishi wa serikali ni watu wenye uwezo mdogo. Huyo jaji ni wazi ana uwezo mdogo, hivyo anafanya kinachoifurahisha serikali ili kuficha uwezo wake mdogo. Kwa mazingira yetu hata ukifanya kazi chini ya kiwango, ili mradi unawabeba watawala, madhaifu yako yatafumbiwa macho.
 
Dunia ipi wewe kunguru..
Yaani dunia imfuatilie mmiliki wa chadema baada yakufuata mambo yao
Atakuwa anamaanisha kale kakibanda ka pale mtaa wa ufipa. Kwake hapo ndiyo dunia ilipo. Mambo ya sayari kama ya Earth (Dunia), Mars, Jupiter, Pluto etc atayajulia wapi.
 
Mama anajua hawana ushawishi tena! Na wanaogopa sana upinzani. Kwa hiyo, wanataka kuua upinzani ili kusiwe na namna. Jambo lisilowezekana.
 
Hata mwehu hujiona ana akili
 
Hii ni enzi ya sayansi na tekinolojia. Siyo enzi ya blablaa tu. Tutegemee kwenye hiyo trial within trial kuoneshwa CCTV footages, Voice clips na video clips za Ling'wenya akiingia Central Police na kutoa confession yake bila shuruti lo lote.
 
Kama yeye mbowe alivyolipiza kisasi kwa Sabaya kwa kumtumia mkwe wake Kweka
 
Dunia nzima inafahamu kwamba Mbowe siyo Gaidi na inafahamu pia kwamba hizi ni njama za kishamba za serikali ya Tanzania kuogopa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi
Erythrocyte , mwambie Lisu afanye kazi ya kuitangaza hii kesi kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi dunia nzima. Mfano, Hangaya akitoka Msisri, ujumbe wa CDM uende huko huko kumnanga kuwa huyu si mtu when it comes to democracy! and the like
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…